Nilichogundua kumbe WASAFI wana uwezo wa kuifuta CLOUDS ndani ya wiki moja wakiamua

Huyo DIOMOND ndio nani?au monitor wako hapo shule..!
 
Mvulana wa Daslamu akiandika ni ngumu kutofautisha andiko la kike na la kiume.
 
Mm siwapendi clouds nataman hata kesho wafulie kwanza nshaacha iskiliza kitambo me n Efm na eastafrca baaaasiii wanajiona sana pumbavuu zaaaooo
J3 na ijumaa unasikilizaga planet bongo ya EA radio?
 
Nguvu ya Uma au ya Kijiko.
Eti Msanii mmoja aifute Radio. Your dreaming

Klauzz Baba Lao..,
Unstoppable.
 
wana stress hahahaa wanaamua kujifariji....tatizo madogo wa WCB wamevimba kichwa na wanajiona wao ndo kila kitu ngoja mle mnyoosho extrime na CMG.
 
bullshit
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…