Nilichogundua kutoka kwa mwamuzi Nassir Salim (Azam FC vs Simba SC) fainali ya Mapinduzi Cup

Unajifanya unajua kumbe huna unalo lijua
 
wote wanaojua Sheria za mpira Inonga aliporudisha mpira kwa Manula wote waliwaza aliunawa ,lakini si vinginevyo
 
Refa alitafsiri lengo na nia ya mchezaji!
 
Sio lazima audake soma vizuri sheria
 
Kwa Inonga referee alikua sahihi, Ila kwa Sacko mwamuzi hakuona tukio ndio maana hakumpa nyekundu, Ila ilipaswa apewe nyekundu na penati. Kwa sababu ile ilikua violence faul sio reckless.
Violent foul ndio ila hakumnyima opponent nafasi ya kufunga Mana mpira alikuwa ashaudaka ndipo faulo ikafuatia. Na haikuwa ndani ya eneo la golikipa. Hivyo ilipaswa kuwa red card na indirect kick
 
Umendika kama unazijua sheria za soccer lakini acha nikwambie HUJUI KITU.
Refa alikuwa sahihi kabisa, ni kosa kumrudishia kipa wako mpira ambao haukua katika movement kwa kuubetua kutoka chini na kuupiga kwa kichwa kwenda kwa kipa hata kama kipa hataudaka bado litakuwa kosa. Tujifunze kupitia sheria na kanuni za mpira wa miguu pamoja na marekebisho yake madogo ya mara kwa mara.
 
Haijalishi kipa ataudaka au hata daka lakini adhabu ipo palepale, unaadhibiwa kwa kusudio. Angeurudisha kwa mguu lisingekuwa kosa, kosa ni kuubetua kwa mguu na kuurudisha kwa kichwa wakati mpira haukuwa katika movement yoyote.
 
Huyo ni Ivan Perisic mchezaji Mkubwa tu alipewa kadi kwa kitendo kama cha Inonga, Lakini wana Simba hawatakiView attachment 2080383
Mkuu, naomba kwa utulivu kabisa usome swali langu. Baada ya kulisoma na kulielewa ndipo unijibu (unielimishe).

Tukio uliloliweka la Ivan Perisic, golikipa aliporudishiwa aliukamata mpira kwa mikono. Mimi ninachosema, refarii wa Zanzibar aliashiria kosa akapiga filimbi wakati Manula anao mpira miguuni, na hakuukamata kwa mikono. Sasa kuanzia hapo naomba uniambie (unielimishe), Je, adhabu ipo pale pale bila kujali golikipa aliyerudishiwa mpira ameucheza kwa miguu wala mikono?


 
Mkuu nshasema pale kilichofanyika refa alitafsiri tukio la henock ni upotezaji muda pasipo sababu za msingi. Mpira ulikuwa miguuni, hakuwa kwenye mazingira hatari Mana alikuwa na nafasi ya kuendelea kucheza kawaida ila yeye akaulazimisha mpira utoke kwenye kuchezwa kwa mguu kwenda kwenye motion ya mpira Wa kichwa.
 
Violent foul ndio ila hakumnyima opponent nafasi ya kufunga Mana mpira alikuwa ashaudaka ndipo faulo ikafuatia. Na haikuwa ndani ya eneo la golikipa. Hivyo ilipaswa kuwa red card na indirect kick
Kwanza unaonekana ukuangalia mpira, kwa kitendo Cha kusema ilikua nje ya penalty area. Pili, Violent foul yoyote ina red card. Na kwa vile ni ndani ya penalty area ilikua viendane na adhabu ya penalty. Mfano ingekua ni reckless foul kwamba alikua anafanya tackling mpira Sasa kaukosa hapo ndo ilitakiwa apewe yellow card na penalty. Violent foul hata iwe katikati ya uwanja ni direct red card
 
Uko serious ile ni freekick!!!!!!!?Ukiondoa mahaba ile ni penalti halali tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…