Nilichogundua kutoka kwa mwamuzi Nassir Salim (Azam FC vs Simba SC) fainali ya Mapinduzi Cup

Ukipata huo ufafanuzi wa hiyo sheria na kanuni ulete hapa jukwaani tuelimike wote.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Sawa ni muhimu wote tunaendelea kujifunza!
 
Huyu Kipa aliuchukua Moira kwa mikono lkn kwenye mechi ya Simba : Manula aliuchukua kwa miguu
Wanachomaanisha kosa ni la Inonga sio Manula na ndio maana faulo ilitengwa alipokuwa inonga
 

Jamaa ameqote hapo juu whether or not gk touches with hands…Kwa kiswahili ni kosa hata km akigusa au hajagusa kwa mikono.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…