Nilichogundua mke kuolewa siyo bahati bali awe na sifa hana tofauti na kiwanja sehemu nzuri kununuliwa ni chapu kwa haraka kuliko magumegume

Nilichogundua mke kuolewa siyo bahati bali awe na sifa hana tofauti na kiwanja sehemu nzuri kununuliwa ni chapu kwa haraka kuliko magumegume

dmkali

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2014
Posts
11,793
Reaction score
22,552
Wanaosema kuolewa ni bahati huwa wanajifariji tu!

Ukweli ni kwamba kuwa mke wa mtu ni vigezo na sifa maalum ambavyo siyo kila mwanamke anavyo!

Kutokuwa malaya haina maana unasifa moja kwa moja kuwa mke wa mtu bali hii ni tabia njema ingawa siyo tiketi ya kuolewa!

Mwanamke mwenye sifa ya kuolewa leo hata kama akitoka kwenye ndoa A , Haichukui muda anaolewa tena kwenye ndoa B,

Mwanamke akiwa na sifa za kuwa mke hata akifiwa na mmewe haichukui muda anaolewa hata akiwa na watoto 50!
Wanaume Tumepewa uwezo mkubwa sana wakutenganisha mke na hawa wengine hata wawe wazuri vipi.

Sifa za mke nazifananisha na kiwanja kilicho sehemu nzuri hata kikinunuliwa leo, ukitaka kukiuza tena chapu kwa haraka kuliko viwanja vyenye migogoro inje ya mji!

Mwanamke mwenye sifa za kuolewa hakai mtaani miezi sita asiolewe hayupo!

Ukiona sehemu mwanamke anatafta Mme hilo ni bomu linatafta pa kulipukia!

Mwanamke mwenye sifa za mke anawindwa kuliko masega! HAKAI
 
Halafu bahati nzuri sifa za mke tunazijua wanaume Tu na hutosikia zinasemwa popote pale, lakini zipo na hazizidi 5 , unakutana na mwanamke ukikaa nae miezi miwili unabaini hapa sio unajitoa taratibu, mwanamke akiwa na zile sifa ukweli hua anatafutwa sana
 
Halafu bahati nzuri sifa za mke tunazijua wanaume Tu na hutosikia zinasemwa popote pale, lakini zipo na hazizidi 5 , unakutana na mwanamke ukikaa nae miezi miwili unabaini hapa sio unajitoa taratibu, mwanamke akiwa na zile sifa ukweli hua anatafutwa sana
Kabisa yaani fasta ... Yaani mwanamke mwenye hizo sifa leo hata akiachwa leo kesho anaolewa tena hawezi kaa mwaka hajaoata mme hiyo haipo!
Na hicho kipawa wanaume tumepewa kujua fasta hata akiekitia lazima mwanaume atajua huyu ni feki au ndiye!
 
You nailed it.

Kati ya mademu wote nilio kula, Kuna wanawake 2 tu they were wifey material na walishaolewa.

Wifey inabebwa na Character & Values, hata uwe na uke mkavu vpi unaolewa
Hata maanamke awe na chuchu mviringo kama hana sifa za kuwa mke hata akijibinua vipi hamna, hata akiwa na pesa vipi wanaume walengaji watampiga pesa tu lakini hakuna kitu hapo wanakuwa wanajipanga kuoa mwingine kabisa
 
Kuna hawa vijana wa kileo wanatufanya wanaume tuonekane hamnazo wote kumbe ni baadhi ya vijana w wajinga wanao angalia vigezo vya kipato na tako. huyu kijana ni msomi lakin kwakwe sifa kuu ni lazima mwanamke awe na tako pia awe na kazi (pesa)

Huwa nawaambia ukitaka kuoa ndo utajua kuwa wanawake kumbe ni wachache namna hii unaweza toboa mwaka mzima ukitafuta mwanamke mwenye sifa ya kuwa mke na usipate. Ila hawa chokoraa majambazi yenye Tatoo na vipini hadi kitovuni na puani hata kesho tu unalileta asee. Lkini mke huwezi mpata kiulaini hivi.
 
You nailed it.

Kati ya mademu wote nilio kula, Kuna wanawake 2 tu they were wifey material na walishaolewa.

Wifey inabebwa na Character & Values, hata uwe na uke mkavu vpi unaolewa
Ukweli kabisa.... Mimi hadi sasa pamoja na msululu wa wale nimewahi pita nao wife material hawazidi4 na huwa wanaolewa chapu tu. Njoo uwakute hao wanaojiita wanawake wa kisasa wa TikTok wengi wao ni ma singo maza
 
Wanaosema kuolewa ni bahati huwa wanajifariji tu!

Ukweli ni kwamba kuwa mke wa mtu ni vigezo na sifa maalum ambavyo siyo kila mwanamke anavyo!

Kutokuwa malaya haina maana unasifa moja kwa moja kuwa mke wa mtu bali hii ni tabia njema ingawa siyo tiketi ya kuolewa!

Mwanamke mwenye sifa ya kuolewa leo hata kama akitoka kwenye ndoa A , Haichukui muda anaolewa tena kwenye ndoa B,

Mwanamke akiwa na sifa za kuwa mke hata akifiwa na mmewe haichukui muda anaolewa hata akiwa na watoto 50!
Wanaume Tumepewa uwezo mkubwa sana wakutenganisha mke na hawa wengine hata wawe wazuri vipi.

Sifa za mke nazifananisha na kiwanja kilicho sehemu nzuri hata kikinunuliwa leo, ukitaka kukiuza tena chapu kwa haraka kuliko viwanja vyenye migogoro inje ya mji!

Mwanamke mwenye sifa za kuolewa hakai mtaani miezi sita asiolewe hayupo!

Ukiona sehemu mwanamke anatafta Mme hilo ni bomu linatafta pa kulipukia!

Mwanamke mwenye sifa za mke anawindwa kuliko masega! HAKAI
twende taratibu, kwahiyo marehemu Dida alikuwa na sifa za kuwa mke au upepo wa ndoa?, vipi Uwoya? weka hoja
 
Kuna hawa vijana wa kileo wanatufanya wanaume tuonekane hamnazo wote kumbe ni baadhi ya vijana w wajinga wanao angalia vigezo vya kipato na tako. huyu kijana ni msomi lakin kwakwe sifa kuu ni lazima mwanamke awe na tako pia awe na kazi (pesa)

Huwa nawaambia ukitaka kuoa ndo utajua kuwa wanawake kumbe ni wachache namna hii unaweza toboa mwaka mzima ukitafuta mwanamke mwenye sifa ya kuwa mke na usipate. Ila hawa chokoraa majambazi yenye Tatoo na vipini hadi kitovuni na puani hata kesho tu unalileta asee. Lkini mke huwezi mpata kiulaini hivi.
Mwanaume akihisi huyu ndie wala haogopi kumheshimu na kupambana kwa ajili yake , na tusidanganyane kua ndoa zote ni vita hapana kuna watu wametulia vizuri kabisa
 
Halafu bahati nzuri sifa za mke tunazijua wanaume Tu na hutosikia zinasemwa popote pale, lakini zipo na hazizidi 5 , unakutana na mwanamke ukikaa nae miezi miwili unabaini hapa sio unajitoa taratibu, mwanamke akiwa na zile sifa ukweli hua anatafutwa sana
Miezi miwili mingi bwashe ukiongea nae Kwa mara ya kwanza tu Kuna vingi unagundua
 
Back
Top Bottom