Nilichogundua mke kuolewa siyo bahati bali awe na sifa hana tofauti na kiwanja sehemu nzuri kununuliwa ni chapu kwa haraka kuliko magumegume

Nilichogundua mke kuolewa siyo bahati bali awe na sifa hana tofauti na kiwanja sehemu nzuri kununuliwa ni chapu kwa haraka kuliko magumegume

Sahihi sana kuwa na family ni kitu kizuri sana na ni baraka lakini tukumbushane kwamba umakini unahitajika sana kwenye kufanya chaguzi
Kweli kabisa
Wenye bahati ya kutafutiwa na wazazi kwenye familia njema leo bado tupo na watoto wamekuwa
Tataizo kubwa sasa vijana wanaonana popote hata makwao hawatambulishani
Wengine wamekutana hata nightclub twende tu
Unakuta unaoa jini
Ila ni kumuomba Mungu akupe mke mwema
Na wao pia wakiomba hivyo hivyo

Umri wenyewe mdogo huu wa kuishi
 
Uko nje ya mada ila wataalamu wa psychology tushajua unatafuta namna ya kujitibu unachopitia yani unatafuta balance uonyeshe watu na wewe unaweza kufanya maamuzi 😀😀
Sawa mwanasaikolojia, Ni kweli naweza fanya maamuzi.. kama hili halikupendezi sio tatizo langu.

Comment zangu huwa zinaonesha upande wa pili wa dunia ya wanawake ambayo wanaume baadhi mnaitreat kama haiexist… Niko hapa kudefend wanawake kwa mabaya na mazuri yao, na siwezi badili hili.

Nakazia: Jaribu kutaka kumuoa mwanamke ambaye hataki umuoe uje utupe majibu. Uzuri ni kuwa mi nitasema ukweli daima hata kama ukweli huo haupendezi.
 
Zungumzieni na utayari wa wahusika kuolewa basi… Kuolewa sio kutekwa, Mwanamke lazima akubali kwanza.

If you know you know!
Vigezo kwanza then utayari.

How comes unakiwa tayari kuolewa, Vigezo vikiwa chini(Elewa neno chini), lazima ufahamiane na mwamposa
 
Leo. hii ktk Harakati zangu za Biashara nikapigiwa Simi na Mteja, nikapeleka bidhaa ambayo mteja anahitaji.
sasa kwa kua kijana wangu Leo alipatwa na Dharula nikaenda mwenyewe.
Cha kustaajabisha, Kuna Dogo mtaania aliniambia Kuna Bint anaempenda anataka kumuoa ila huyo Binti ataki wanfanye chochote mpaka yeye ajitambulishe kwao na amuoe ndo wanaweza kufanya mapenzi, Da alivyonieleza hivyo nikamwambia Demu hamna hapo anakuzingua,
Sasa Leo nilikoenda kupeleka Bidhaa ya mteja kabla ya mechi ya Yanga, kuanza, tuko Sebreni Demu anatoka Chumbani kavaa kanga, ananikuta Sebreni nimesimama, na ndo huyo Demu aliemuambia Dogo asubuli mpaka atakapo muoa, wakati kwa washikaji wengine anatoka mzigo.
Haaaa Kimoyo Moyo nilicheka sana.
Wanawake wa kuoa ni wachache sana, Wengi wasanii na Wapenda Fedha.
 
Wanawake bhana! kuna single mama 30+ nilimu approach me nikawa najua ile tumalizane tu kila mtu ale 50 zake nikamwita mazingira naona anajibrand kweli oooh mie sio wa Ivo nikajua basi madam Hana njaa nikamheshimu kwnz nikawa naomba mzigo taratibu nikashangaa siku moja ananiomba hela ndefu tu nikasema weee siku nyingi unazingua nn si ungekuja tumalizane tu nikupe chako! yaani akarudi kulekule kudanga sasa wkt mwanzo alijifanya hataki
 
Wanawake bhana! kuna single mama 30+ nilimu approach me nikawa najua ile tumalizane tu kila mtu ale 50 zake nikamwita mazingira naona anajibrand kweli oooh mie sio wa Ivo nikajua basi madam Hana njaa nikamheshimu kwnz nikawa naomba mzigo taratibu nikashangaa siku moja ananiomba hela ndefu tu nikasema weee siku nyingi unazingua nn si ungekuja tumalizane tu nikupe chako! yaani akarudi kulekule kudanga sasa wkt mwanzo alijifanya hataki
Business woman
 
Kabisa yaani fasta ... Yaani mwanamke mwenye hizo sifa leo hata akiachwa leo kesho anaolewa tena hawezi kaa mwaka hajaoata mme hiyo haipo!
Na hicho kipawa wanaume tumepewa kujua fasta hata akiekitia lazima mwanaume atajua huyu ni feki au ndiye!
Kuzijua mpaka uwe umevuka miaka 25 au 30 chini ya hapo unawaza sex tu na mbol000 ina nguvu mno ya kuangalia mwili wake kuliko roho ama moyo na tabia zake,
Ukivuka hapo huangalii sura ama muonekano wa nje Bali unaangalia ndani yake yukoje.
Tabia is everything in life even our life is dedicated or judged due to behavior
 
twende taratibu, kwahiyo marehemu Dida alikuwa na sifa za kuwa mke au upepo wa ndoa?, vipi Uwoya? weka hoja
Walikua wanaolewa na wanaume gani, sasa mtu kama dogo janja utasema kuna mume pale.
 
Back
Top Bottom