Nilichogundua mwenzenu

Naona kwa Mara ya kwanza umeamua uanzishe uzi hongera kwenye Hili na kitu kizuri zaidi ujatoa boko
 
That's it mkuu, don't rush...utaambulia kuishi na adui
 
Kwani hadi umri gani tunaweza kusema "huyu amechelewa kuoa/kuolewa?"
 
Mtoa mada huu ni ukweli kabisaaaa, ukishazoea kujisimamia mambo ya kupangiwa pangiwa yanakera. Ndio yale ya bibie anataka akaangalie mpira mwenzie anataka abaki nyumbani apike. Mgongano unaanzia hapo.
Ndoa ni kujikana haswa.
unataka ucheki muvi mpya ya mazombi mtu anakurukia rukia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…