Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naona kwa Mara ya kwanza umeamua uanzishe uzi hongera kwenye Hili na kitu kizuri zaidi ujatoa bokoMambo? Unachelewa kuoa au kuolewa ndivyo utavyopata matokeo hasi ukishapata ndoa.
1.utaanza kuhisi kilakitu afanyacho mkeo/mmeo anakosea sababu ulishazoea tuvisheria twako.
2.kubughuziwa(to feel uncomfortable)....kuanzia kulala wawili kitandani na kushea anything(uchoyo unaanza hapa)
3.kutamani kuishi pekeyako Tena,kutaman mwenzio asafiri,akienda kazini achelewe kurudi au alale hukohuko🤣,akirudi apitilize kulala ataoga asubuhi😆.
4.Ongezeeni nilivyosahau(kuweni wakweli)
NB:Oaneni mapema kabla akili na mwili havijajizoea kuishi vyenyewe ili msipigane risasi(ndoa ni urafiki)
Mie wewe nitakuacha siku upo ndani kwangu tunajiburudisha na mbususuNiache kwanza
That's it mkuu, don't rush...utaambulia kuishi na aduiThanks mkuu kwa mada hii.. i have got different perspective... i believe God's time is the best..do not rush things sababu uko young au unaona muda unayoyoma, you might end up creating unhappy home ....usiolewe/oa kisa tu ni formality, olewa sababu unaona umepata mtu sahihi, and you are ready to commit into a relationship...it doesnt matter kama una miaka 25, 28, 35... ukimpata mtu sahihi hautaona kero hata kidogo...
unataka ucheki muvi mpya ya mazombi mtu anakurukia rukiaMtoa mada huu ni ukweli kabisaaaa, ukishazoea kujisimamia mambo ya kupangiwa pangiwa yanakera. Ndio yale ya bibie anataka akaangalie mpira mwenzie anataka abaki nyumbani apike. Mgongano unaanzia hapo.
Ndoa ni kujikana haswa.
Na upo tayari kumpa ale mzigo bila hiyana...Hatujawahi,ndo nafukuzia issue ya kuliwa,au nakosea mkuu kutanguliza mbususu kwanza
Kila la kheri na uje ulete mrejesho...Ndiyo,nisijezeeka nayo bure
Hahaha, haya bwana...Utajiona tu siku ukipata mtu mkilala wote unahisi amejamba muda wote...u feel keroo
Miaka 120 babe.Kwani hadi umri gani tunaweza kusema "huyu amechelewa kuoa/kuolewa?"
Jitahidi uwe unaanzisha uzi kama hivi tunaweza tukawa tunapata vitu vizuri kama hivi ulivyotoa Leo kumbe una madini lakini unakaa nazo sio vizuri hivyoAsante sana
🤣🤣🤣🤣🤣 Umempiga na kitu kizitoShida yako wewe huamini katika ndoa