Kikwava
JF-Expert Member
- Sep 6, 2015
- 1,741
- 1,068
Husika na mada hapo juu tunawaomba MA-PS (Baadhi), huko MAOFISINI mtuhudumie kwa upendo na kwa haraka, nimefanya utafiti kidogo nimegundua kumbe mabosi wana moyo wa kutuhudumia Ila wanakwamishwa na masekretari wao.
Mfano;
1. Ps unamsalimia hakujibu kwa makusudi.
2. Ps anakataa usionane na boss umwambie shida yako.
2. Ps anakaa na file lako mpaka siku 3 bila kumpelekea Boss.
3. Ps anakununia bila sababu
4. Barua yakuandika dk20 anasema uende baada ya siku 3
IKUMBUKWE, KUHUDUMIA WATU KWA MOYO NA UPENDO NI IBADA, Badilikeni.
Mfano;
1. Ps unamsalimia hakujibu kwa makusudi.
2. Ps anakataa usionane na boss umwambie shida yako.
2. Ps anakaa na file lako mpaka siku 3 bila kumpelekea Boss.
3. Ps anakununia bila sababu
4. Barua yakuandika dk20 anasema uende baada ya siku 3
IKUMBUKWE, KUHUDUMIA WATU KWA MOYO NA UPENDO NI IBADA, Badilikeni.