Nilichogundua shida maofisini kwenye utoaji wa huduma hazipo kwa Mabosi, zipo kwa wasaidizi

Hongera zao... watumishi wote wangejitoa hivyo hzo lawama zisingekuwepo Ila bado Kuna sehem ma ps wanawakatili Sana wananchi wanaendekeza Sana delay zisizo za msingi
Na sehemu kubwa tz viongozi ni kama miungu watu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…