Nilichogundua wanaume wengi wa JF hawatumii kondom, wanapenda 'Unprotected Sex'

Namuonea huruma sana atakayekuja kukuoa maana atakachokuja kukutana nacho hataamini
Unasafiri 900km na Zaidi kwenda kugawa tunda
Ngoja nikae kimya iitakua mi ndo mshamba
Hapo hujapigia mahesabu aliokutana nao safarini kwenda kurudi🙄
 

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Makubwa haya
 
Wewe mleta Uzi nawe unaonekana mchele mchele.
 
Kama naona midume inayokandia hapa ila inakimbizana pm kwa mleta mada...[emoji1787][emoji1787]
Bonge la foleni kule pm zitakua zimejam😂😂😂.
Bora si huku tupeane angalau tips za jinsi ya kula matunda.
Nifate Pm yna2.😃
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…