Nilichogundua wanaume wengi wa JF hawatumii kondom, wanapenda 'Unprotected Sex'

Nilichogundua wanaume wengi wa JF hawatumii kondom, wanapenda 'Unprotected Sex'

Namuonea huruma sana atakayekuja kukuoa maana atakachokuja kukutana nacho hataamini
Unasafiri 900km na Zaidi kwenda kugawa tunda
Ngoja nikae kimya iitakua mi ndo mshamba
Hapo hujapigia mahesabu aliokutana nao safarini kwenda kurudi🙄
 
Ulisema mngepima ungekaa hoteli wiki ee
Haya twende tukapime uje ukae kwangu miezi.

Nimegundua wewe unapenda sana ngono, kama sio basi hili ni tangazo la biashara.

Halafu unapenda sana wanaume wa JF kwa mentality yakua ni wasomi na pengine wana maisha.

Kuna wakina sisi huku, shauri yako.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Usinipite Mwokozi,Unisikieeee
Unapozuru wengine,Usinipite

Yesu, Yesu, unisikie,
Unapozuru wengine,Usinipite



Kiti chako cha rehema,Nakitazama
Magoti napiga pale,Nisamehewe

Yesu, Yesu, unisikie,
Unapozuru wengine,Usinipite


Sina ya kutegemea,Ila wewe tu
Uso wako uwe kwangu,Nakuabudu

Yesu, Yesu, unisikie,
Unapozuru wengine,Usinipite


U Mfariji peke yako,Sina mbinguni
Wala duniani pote,Bwana mwingine

Yesu, Yesu, unisikie,
Unapozuru wengine,Usinipite


Nakusalimia cutelove
Makubwa haya
 
Wewe mleta Uzi nawe unaonekana mchele mchele.
 
Kama naona midume inayokandia hapa ila inakimbizana pm kwa mleta mada...[emoji1787][emoji1787]
Bonge la foleni kule pm zitakua zimejam😂😂😂.
Bora si huku tupeane angalau tips za jinsi ya kula matunda.
Nifate Pm yna2.😃
 
Back
Top Bottom