Nilichogundua wanaume wengi wa JF hawatumii kondom, wanapenda 'Unprotected Sex'

Hapa ni mauza uza ya kuongeza taharuki na kutiana presha tu kwenye hii wiki ya ukimwi hapa jf.
Yaani humu ni kuumbuana na kumwaga ugali, mboga hadi maji ya kunawa...teh

Powa Mzee tuwakilishe vizuri huko PM
 
Nina rafiki yangu anaitwa prisca..mumewe Paulo

Watoto wao pacha Patricia na Patrick

Anaujauzito wa mapacha tena majina wameshayaandaa..paulina na Peter..

Namuonea wivu na mapacha kila mzao..[emoji17]
Duuh watu wanafantasy za ajabu mno..
Mwenyekiti wetu alikua anaitwa Jaona.. mkewe Sijaona. Mtoto wao Siajali
 
Nina rafiki yangu anaitwa prisca..mumewe Paulo

Watoto wao pacha Patricia na Patrick

Anaujauzito wa mapacha tena majina wameshayaandaa..paulina na Peter..

Namuonea wivu na mapacha kila mzao..[emoji17]
Hadi raaaaahaa.
Napenda na mimi nipate mapacha wa kike na wa kiume.
 
Huku sasa ni kujitoa muhanga.

.kusafiri umbali wote huo kupeleka papuchi

.kukubali papuchi kuliwa bila kinga na mtu usiejua afya yake ikoje.

Swala la kulinda afya ni jukumu lako mwenyewe usitake mwingine ndo awe na jukumu hilo kwako.
 
Kama Wewe ni wa Bukoba naomba unitafute coz nahitaji kuwa Mwanafunzi wako. Unifundishe Katerero pale uwanjani!
 
Duuh watu wanafantasy za ajabu mno..
Mwenyekiti wetu alikua anaitwa Jaona.. mkewe Sijaona. Mtoto wao Siajali
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Hapana si kwa majina hayo..
 
Asante Behaviourist. Umejuaje ni jina langu kweli?

Kingine ambacho haukijui na natamani ukijue.
Baba anaitwa Paul (Paulo) M..
Mama anaitwa Paulina Paul.
Twin sister anaitwa Paola Paul.
Mimi ninaitwa Paula Paul.
Na mdogo wetu anaitwa Patrick Paul.
I doubt with ur nomino hahahhaa inafanana na mtu fulani ambaye naww nadhani wamjua anyway huenda ndo ww nikjuaye
 


Baba yako angetumia Kondom kwa Dada-wa-Kazi [housegirl] wake usingezaliwa.

Kumbuka mama yako alikuwa yaya kwenye familia aliyozaliwa na ndio maana wewe ni mtoto wa nje.
 
Sisi Ambao Hatujawahi hata kuwa na namba ya Simu ya Mdada Wa JF tunaruhusiwa Ku comment? Maana Mimi Hadi leo Sijajua ID ipi ni Ya Mwanamke na Ipi Ya Mwanaume

Nipo Nipo Tuuu
 
Asante Behaviourist. Umejuaje ni jina langu kweli?

Kingine ambacho haukijui na natamani ukijue.
Baba anaitwa Paul (Paulo) M..
Mama anaitwa Paulina Paul.
Twin sister anaitwa Paola Paul.
Mimi ninaitwa Paula Paul.
Na mdogo wetu anaitwa Patrick Paul.
Binafsi yangu siwezi ita mwanangu paul.
Babu yangu mzaa mama kazaa watoto wawili,joyce na paul. Joyce ndiye mama yangu ambaye mama ake joyce ni mchaga,huyu paul ambaye ni mjomba wangu mama yake ni mkamba wa kenya.

Mambo yanayopita kwa paul na tabia aliyonayo havirandani na paul wa dsm,ila sijawai shawishika kuwa na paul kwenye damu yangu.
 
[emoji445] [emoji445] kifo kifo, kifo hakina huruma..Endelea kuwaaminisha wenzako kama wewe ni msafi , kumbe....

tuweni makin wagonjwa ni wengi na wala hawajali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…