Nilichogundua wanaume wengi wa JF hawatumii kondom, wanapenda 'Unprotected Sex'

Nilijua moja kwa moja ni wewe kumbe sio?
Ingekuwa ni mimi, pengine ningesema asante kwa walau kuondoa mkosi for the first time kwa kucheza na mkubwa mwenzangu hapa jf...[emoji23][emoji23]
 
Wadada wengi huwa wana washawisha wadada wengine kwa kuwasifia wapenzi wao hadharani.
Kumbuka lile saga la 2017
Mkuu wewe ni mtunzaji mzuri wa kumbukumbu hizi na unajua kuconnect dots. Sie ambao hatujui pm ndo tusome comments tu
 
Duh !!! Nawewe unazunguka Sana hao ni Wa jamii forums vipi Wa huko kwenu? Jamvi la wageni
 
Kwenye tangazo lako umesahau bei , yaani unauza shilling ngapi ukijumlisha na nauli yako.
Yaani jf tuu umepuyanga kiasi hiki huko mtaani khali sijui ipo vipi?😢
Tafuta kazi au biashara itakayokupa mahitaji yako hizo 7800 hazitakufikisha popote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…