Jf tu tumepangwa kiasi hiki, huko mtaani vijana wanakoma hakyanani!!Kwenye tangazo lako umesahau bei , yaani unauza shilling ngapi ukijumlisha na nauli yako.
Yaani jf tuu umepuyanga kiasi hiki huko mtaani khali sijui ipo vipi?[emoji22]
Tafuta kazi au biashara itakayokupa mahitaji yako hizo 7800 hazitakufikisha popote
Naomba tuzoeane bhas.seriousSio kwamba huwa tumekutana first time na ku-do LA hasha,kwanza tunafahamiana kwanza,tunazoeana ndo hayo mengine yanafuata,ndo maana yule wa Mbeya aliyenitembelea kwangu na kulazimisha kulala nyumbani kwangu na Mimi licha ya kumchukulia chumba lodge,nilikataa akazira na kuondoka
Kuna watu hata mtaani kwao hawajulikani hata majina. kwani uwepo wa ni nadra sana. hao wafanyeje?Kwann wanaume huwa tunapenda kuhangaika hvo,mtaan tunapoish ukjtuliza utaona kuna watoto Wa Kali tena Wa gharama poa,inakuwaje mnahangaikA mitandaon na kutuma minauli
umuonee wivu pia akibebana na lile tumbo miezi 9Nina rafiki yangu anaitwa prisca..mumewe Paulo
Watoto wao pacha Patricia na Patrick
Anaujauzito wa mapacha tena majina wameshayaandaa..paulina na Peter..
Namuonea wivu na mapacha kila mzao..[emoji17]
Namuoneaga huruma jamani@ma
umuonee wivu pia akibebana na lile tumbo miezi 9
acha kabisa ujauzito wa twins,nasema Achaaaa,sikia tu kwa jirani
Nina rafiki yangu anaitwa prisca..mumewe Paulo
Watoto wao pacha Patricia na Patrick
Anaujauzito wa mapacha tena majina wameshayaandaa..paulina na Peter..
Namuonea wivu na mapacha kila mzao..[emoji17]
Huu uzi nahisi utakuwa trending kwa mwezi hivi ukienda sambamba na uzi wa kula tunda kimasihara coz ule ni uzi wa mwaka
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Karibu ujipatie mapacha wa jinsia upendazo bila malipo, usipopata mapacha tunarudia tena.... mkoani pia tunakufikishia huduma.
kua kua kwanza nsije kukuzibua maskio dada anguNamuoneaga huruma jamani
Umeandika kwa uzoefu..embu niambie unakuwaje
[emoji23][emoji23]Jf tu tumepangwa kiasi hiki, huko mtaani vijana wanakoma hakyanani!!
Sasa si uniambie rafiki yangu..kua kua kwanza nsije kukuzibua maskio dada angu
sitamani kukuona ukikata tamaa haraka namna hiii
Sio mimi mkuu, hizi kumbukumbu zote zipo humu jf. Na leo ili nijiridhishe, nimezipitia kuzisoma ili nirejeshe kumbukumbu hapa jamviniMkuu wewe ni mtunzaji mzuri wa kumbukumbu hizi na unajua kuconnect dots. Sie ambao hatujui pm ndo tusome comments tu
Asante ndugu mjumbe, lakini tayari mimi nimepanga mstari huko PM ili nifaidike kama wengine kwa 7800Nimejiuliza sana hili swali pia. Inabidi tuitishe kikao cha dharula [emoji23]
Kuna mtaa, kijiji, nchi au mkoa unaoitwa JF? au unapoangalia list ya member unafikiri wamefungiwa chumba fulani au kijiji fulani ndio wanakoishi na tabia zao? JF ni shuleni kwako, mtaani kwakoIngawa uwiano wa maambukizi ya HIV inaonyesha wanawake ndio walioambukizwa zaidi kuliko wanaume, ila nimegundua wanaume wanacheza rafu sex sana.
Mwaka 2018 January nilkutana na mwanaume humu, tukakubaliana kuwa wapenzi, yeye akiishi Dodoma Mimi nikiwa Bukoba. Siku ya kwanza ku-sex naye, hakutaka kutumia kondom, nilimlazimisha atumie maana tulikuwa hatujapima, lakini aligomagoma mpaka tukaahirisha, ingawa alikuwa analalama usiku huo kumnyima, nikamwambia haina haja ya kulalama.
Asubuhi alienda kutafuta kondom akaja tukasex lakini katikati ya gemu nikashtukia anatoa kuwa inamchelewesha kumaliza, sikutaka kupinga ikabidi niache tu amalize.
Baada ya hapo niliumia sana kufanya mapenzi bila kondom na bila kujua hali ya mwenzangu.
Sikutaka kurudiana naye tena, hadi ikaisha miezi 3 nikaenda kupima nikajikuta nipo salama, nikampa sharti la yeye kuendelea na mimi ni kupima, akakataa mahusiano yakafa.
Mwaka 2019 Machi nilkutana na kaka mmoja humu wa Dar, akaniomba tuwe kwenye mahusiano, nikaenda Dar lakini cha ajabu tuli-sex bila kinga na hatukupima, nikamuachia Mungu, ila nikavunja mahusiano baada ya kugundua ana mahusiano na mwanamke mwingine wa humu tunayefahamiana.
Mwingine akaja PM nikamwelewa wa huko huko Dar, nikamfuata. Huyu tuliingia hotel, kisha chumbani. Nikauliza kama ana kondom akasema hana, nikamwambia inabidi tulale mzungu wa nne mpaka asubuhi tukapime, tukishajua hali zetu nipo radhi kukaa hapa hotelini wiki nzima.
Akakubali kesho yake tungepima, kumbe hiyo kesho akatoweka, hakutaka tuonane, nikarudi zangu mkoani.
Nilichojifunza wanaume wengi wa JF wame-risk maisha yao kuhusu HIV.
Nimewahi kumuuliza mwanaume mmoja humu wa JF kwa nini wanaume wengi mnakuwa na kondom mfukoni lakini inapofika kwenye sex hamtumii zile kondom?
Alichonijibu ni kuwa ni kweli Dada, kinachotokea ni kuwa unaweza ukawa na dhamira ya kutumia kondom lakini wakati mpo chumbani, uzuri wa kasura, umbile, chuchu na mapaja na hata huko nyuma pameumuka vizuri; ile dhamira ya kutumia kondom hutoweka, hujitoa kula nyama nyama kwa sababu hatafaidi uzuri alio uona.
Ndo maana siku hizi sitaki wanaume PM.
Wanaume wa JF take care, wengi muna shule kichwani lakini mnadharau sana matumizi ya kondom na kuchek afya zenu.
[emoji23]na iwe hivyo mdogo ake.. mambo sio kabisa!![emoji23][emoji23]
Kaka ake kikombe kikupite..
ndio mana nimesema kwako linanishinda jambo 1 tu (uwoya vs janjaro)Sasa si uniambie rafiki yangu..
Au unataka mabanzi uniambie huku Unatoa machozi?
Nyuzi za kingono ndiyo huwa zinakimbia Sana.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23]
Huu uzinaufananisha na uzi mmoja shoga moja liliandika jinsi linavoliwa tigo na limeshindwa kuacha.....uzi ulitembea uleeee...sasa huyu mleta mada nae hana tofauti na lile punga.