Nilichogundua wanaume wengi wa JF hawatumii kondom, wanapenda 'Unprotected Sex'

Nilichogundua wanaume wengi wa JF hawatumii kondom, wanapenda 'Unprotected Sex'

Kwenye tangazo lako umesahau bei , yaani unauza shilling ngapi ukijumlisha na nauli yako.
Yaani jf tuu umepuyanga kiasi hiki huko mtaani khali sijui ipo vipi?[emoji22]
Tafuta kazi au biashara itakayokupa mahitaji yako hizo 7800 hazitakufikisha popote
Jf tu tumepangwa kiasi hiki, huko mtaani vijana wanakoma hakyanani!!
 
Sio kwamba huwa tumekutana first time na ku-do LA hasha,kwanza tunafahamiana kwanza,tunazoeana ndo hayo mengine yanafuata,ndo maana yule wa Mbeya aliyenitembelea kwangu na kulazimisha kulala nyumbani kwangu na Mimi licha ya kumchukulia chumba lodge,nilikataa akazira na kuondoka
Naomba tuzoeane bhas.serious
 
Hivi kumbe UKIMWI bado upo..!!
Kwa maana hata mabango ya ujenzi siku hizi hayaandikwi tena ‘UKIMWI UNAUA’ bali ‘Hapa Kazi Tu’.
 
Kwann wanaume huwa tunapenda kuhangaika hvo,mtaan tunapoish ukjtuliza utaona kuna watoto Wa Kali tena Wa gharama poa,inakuwaje mnahangaikA mitandaon na kutuma minauli
Kuna watu hata mtaani kwao hawajulikani hata majina. kwani uwepo wa ni nadra sana. hao wafanyeje?
 
@ma
Nina rafiki yangu anaitwa prisca..mumewe Paulo

Watoto wao pacha Patricia na Patrick

Anaujauzito wa mapacha tena majina wameshayaandaa..paulina na Peter..

Namuonea wivu na mapacha kila mzao..[emoji17]
umuonee wivu pia akibebana na lile tumbo miezi 9

acha kabisa ujauzito wa twins,nasema Achaaaa,sikia tu kwa jirani
 
Bora kuchagua kubaki na mmoja tu hata kama anamapungufu bora kustahmili maana maisha ni mazuri na tunahitaji kuishi vyema kadiri Mungu anavyotujalia uzima
 
@ma

umuonee wivu pia akibebana na lile tumbo miezi 9

acha kabisa ujauzito wa twins,nasema Achaaaa,sikia tu kwa jirani
Namuoneaga huruma jamani

Umeandika kwa uzoefu..embu niambie unakuwaje
 
Nina rafiki yangu anaitwa prisca..mumewe Paulo

Watoto wao pacha Patricia na Patrick

Anaujauzito wa mapacha tena majina wameshayaandaa..paulina na Peter..

Namuonea wivu na mapacha kila mzao..[emoji17]

Karibu ujipatie mapacha wa jinsia upendazo bila malipo, usipopata mapacha tunarudia tena.... mkoani pia tunakufikishia huduma.
 
Karibu ujipatie mapacha wa jinsia upendazo bila malipo, usipopata mapacha tunarudia tena.... mkoani pia tunakufikishia huduma.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Yani wewe..khaa!
 
Namuoneaga huruma jamani

Umeandika kwa uzoefu..embu niambie unakuwaje
kua kua kwanza nsije kukuzibua maskio dada angu

sitamani kukuona ukikata tamaa haraka namna hiii
 
Mkuu wewe ni mtunzaji mzuri wa kumbukumbu hizi na unajua kuconnect dots. Sie ambao hatujui pm ndo tusome comments tu
Sio mimi mkuu, hizi kumbukumbu zote zipo humu jf. Na leo ili nijiridhishe, nimezipitia kuzisoma ili nirejeshe kumbukumbu hapa jamvini
 
Ingawa uwiano wa maambukizi ya HIV inaonyesha wanawake ndio walioambukizwa zaidi kuliko wanaume, ila nimegundua wanaume wanacheza rafu sex sana.

Mwaka 2018 January nilkutana na mwanaume humu, tukakubaliana kuwa wapenzi, yeye akiishi Dodoma Mimi nikiwa Bukoba. Siku ya kwanza ku-sex naye, hakutaka kutumia kondom, nilimlazimisha atumie maana tulikuwa hatujapima, lakini aligomagoma mpaka tukaahirisha, ingawa alikuwa analalama usiku huo kumnyima, nikamwambia haina haja ya kulalama.

Asubuhi alienda kutafuta kondom akaja tukasex lakini katikati ya gemu nikashtukia anatoa kuwa inamchelewesha kumaliza, sikutaka kupinga ikabidi niache tu amalize.

Baada ya hapo niliumia sana kufanya mapenzi bila kondom na bila kujua hali ya mwenzangu.

Sikutaka kurudiana naye tena, hadi ikaisha miezi 3 nikaenda kupima nikajikuta nipo salama, nikampa sharti la yeye kuendelea na mimi ni kupima, akakataa mahusiano yakafa.

Mwaka 2019 Machi nilkutana na kaka mmoja humu wa Dar, akaniomba tuwe kwenye mahusiano, nikaenda Dar lakini cha ajabu tuli-sex bila kinga na hatukupima, nikamuachia Mungu, ila nikavunja mahusiano baada ya kugundua ana mahusiano na mwanamke mwingine wa humu tunayefahamiana.

Mwingine akaja PM nikamwelewa wa huko huko Dar, nikamfuata. Huyu tuliingia hotel, kisha chumbani. Nikauliza kama ana kondom akasema hana, nikamwambia inabidi tulale mzungu wa nne mpaka asubuhi tukapime, tukishajua hali zetu nipo radhi kukaa hapa hotelini wiki nzima.

Akakubali kesho yake tungepima, kumbe hiyo kesho akatoweka, hakutaka tuonane, nikarudi zangu mkoani.

Nilichojifunza wanaume wengi wa JF wame-risk maisha yao kuhusu HIV.

Nimewahi kumuuliza mwanaume mmoja humu wa JF kwa nini wanaume wengi mnakuwa na kondom mfukoni lakini inapofika kwenye sex hamtumii zile kondom?

Alichonijibu ni kuwa ni kweli Dada, kinachotokea ni kuwa unaweza ukawa na dhamira ya kutumia kondom lakini wakati mpo chumbani, uzuri wa kasura, umbile, chuchu na mapaja na hata huko nyuma pameumuka vizuri; ile dhamira ya kutumia kondom hutoweka, hujitoa kula nyama nyama kwa sababu hatafaidi uzuri alio uona.

Ndo maana siku hizi sitaki wanaume PM.

Wanaume wa JF take care, wengi muna shule kichwani lakini mnadharau sana matumizi ya kondom na kuchek afya zenu.
Kuna mtaa, kijiji, nchi au mkoa unaoitwa JF? au unapoangalia list ya member unafikiri wamefungiwa chumba fulani au kijiji fulani ndio wanakoishi na tabia zao? JF ni shuleni kwako, mtaani kwako
 
😂😂😂😂🤣🤣😂😂

Huu uzinaufananisha na uzi mmoja shoga moja liliandika jinsi linavoliwa tigo na limeshindwa kuacha.....uzi ulitembea uleeee...sasa huyu mleta mada nae hana tofauti na lile punga.
 
Sasa si uniambie rafiki yangu..

Au unataka mabanzi uniambie huku Unatoa machozi?
ndio mana nimesema kwako linanishinda jambo 1 tu (uwoya vs janjaro)

haya sasa uko mbali unantisha,nikiwa around si tayari naugulia maumivu?

Next week naanza Gym nijae jae kdg niweze kukumudu ili ukisema fyeeee (nakupa banzi hiloo)
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23]

Huu uzinaufananisha na uzi mmoja shoga moja liliandika jinsi linavoliwa tigo na limeshindwa kuacha.....uzi ulitembea uleeee...sasa huyu mleta mada nae hana tofauti na lile punga.
Nyuzi za kingono ndiyo huwa zinakimbia Sana.
 
Back
Top Bottom