vipi khantwe , mzima lakiniMambo yameshakuwa mengi
mkuu acha kunipa kicheko, hata mimi hio ndio swali langu mkuuMnawapataje wapenzi huku JF maana wengi wanatumia majina Fake ? Na Ni ni link ipi ya kuwapata?
Nimeshangaa mimi wanavyomshangaa mtoa mada kusafiri kufuata mabeb zake kama vile ni kitu cha ajabu sana amekifanya.
Kama mambo ni haya mbona hata Badoo cha mtoto? Mtu unaukwaa UKIMWI kupitia JF dah! Maisha yako yote ukisikia jina la Mello unakunja uso...
Ila mabinti wa humu dah! Hata umpende vipi ukija kuchunguza tu kidogo unakuta yaani anaburuzwa na mabaharia vibaya sana; hata kugeuzwa mchepuko na majamaa yaliyooa. Hovyo kabisa !!!
Usisahau huyo ni mhaya[emoji1787]cutelove From Bukoba to Dodoma, From Bukoba to Dar nk.... Just for sex!!!! Unapenda sana uzinifu dada!!! Be careful.
P FAMILY [emoji44]Asante Behaviourist. Umejuaje ni jina langu kweli?
Kingine ambacho haukijui na natamani ukijue.
Baba anaitwa Paul (Paulo) M..
Mama anaitwa Paulina Paul.
Twin sister anaitwa Paola Paul.
Mimi ninaitwa Paula Paul.
Na mdogo wetu anaitwa Patrick Paul.
Mzima, hujambo wewe?vipi khantwe , mzima lakini
Nimeshaijua familia yenu[emoji85][emoji85]Asante Behaviourist. Umejuaje ni jina langu kweli?
Kingine ambacho haukijui na natamani ukijue.
Baba anaitwa Paul (Paulo) M..
Mama anaitwa Paulina Paul.
Twin sister anaitwa Paola Paul.
Mimi ninaitwa Paula Paul.
Na mdogo wetu anaitwa Patrick Paul.
Kachepuke na mme wa rafiki yako ni sperm donor wa mapacha[emoji1787]Nina rafiki yangu anaitwa prisca..mumewe Paulo
Watoto wao pacha Patricia na Patrick
Anaujauzito wa mapacha tena majina wameshayaandaa..paulina na Peter..
Namuonea wivu na mapacha kila mzao..[emoji17]
Nani nilimfuata PM nikamtongoza aeeme hapa,Hahahaha
Tangu lini watatu wakawa wengi? Labda kama anazungumzia watatu kwa mwezi...Kwamba ni wengi au wachache?
Hahahaha, najua huamini ukweli ndio huo ,naishiaga hapa hapa jukwaaniMfyuuu
Literary sex worker, na proffesionla na anasafiri kufuata mbo..Duh! Asante
Tangu lini watatu wakawa wengi? Labda kama anazungumzia watatu kwa mwezi...
Kuna kabinti hapa nakahifadhi jina naona kanamchamba mleta mada wakati mimi babu yenu nina ushahidi kameshabanduliwa na njemba kama 6 hivi za hapa JF. Mi simo lakini maana ilitokea kwa bahati mbaya tu...
Hapana hauwezi.Nimeshaijua familia yenu[emoji85][emoji85]
Wanatufanyia hila tuwaogope wachuchu. Nasi tunasema hatudanganyiki. Kwani nini bhana... kufa kwa ngoma ni ushujaaEti mtu chake kasema ni wengi. Wakati mi naona kawaida tu.
Utatuweza sasa kwa unafki?? Mtu anajifanya kumshambulia mtoa mada ila na yeye ana kafoleni kake ka kutosha tu huku ila anajishaua.
Wanatufanyia hila tuwaogope wachuchu. Nasi tunasema hatudanganyiki. Kwani nini bhana... kufa kwa ngoma ni ushujaa
Zaid ya hatar wao bila sisi sifuriHatari sanaaaaaaa