Nilichogundua wanaume wengi wa JF hawatumii kondom, wanapenda 'Unprotected Sex'

Nilichogundua wanaume wengi wa JF hawatumii kondom, wanapenda 'Unprotected Sex'

Sio kwamba huwa tumekutana first time na ku-do LA hasha,kwanza tunafahamiana kwanza,tunazoeana ndo hayo mengine yanafuata,ndo maana yule wa Mbeya aliyenitembelea kwangu na kulazimisha kulala nyumbani kwangu na Mimi licha ya kumchukulia chumba lodge,nilikataa akazira na kuondoka
Mmmmm mwanamke waki Tanzania uende kwakwe akatae kulala na mpenz wake alafu akamchikulie lodge mwanaume?
 
Kwanza pole sana si kwa ulichoandika bali matendo yako!

Umeongea ukweli kwamba wanaume tulio wengi hatutumii kondom lakini kulingana na evidence zako nimegundua pia wewe ndo uko kwenye hatari zaidi ya kupata Ukimwi,

Kwanza unaaminije wanaume wa mitandaoni?

Pili unatoka bukoba hadi dar koz ya mwanaume unayejua kabisa hatumii kondom tena si mara moja?huu ni nini?

Tatu unafanyaje utafiti kama huu kwa ku risk maisha yako?

Umenishangaza kabisa kuona kwamba wewe ni miongoni mwa wanaofanya biashara mitandaoni japo hawajitangazi na nyie ndo mnafanya wanaume wasitumie kondom, ndio maana ndoa za siku izi miyeyusho!

Kondom haizuii Ukimwi na tukijua ku sex ni ngumu san kupata Ukimwi tatizo tunabakana,mfano mtu umekutana nae mtandaoni unatumiwa picha zilizojaa edition kibao then you sex unategemea nini?
Wanaume wa mitandaoni si ndo hao hao walioko mtaani?
 
Ingawa uwiano wa maambukizi ya HIV inaonyesha wanawake ndio walioambukizwa zaidi kuliko wanaume, ila nimegundua wanaume wanacheza rafu sex sana.

Mwaka 2018 January nilkutana na mwanaume humu, tukakubaliana kuwa wapenzi, yeye akiishi Dodoma Mimi nikiwa Bukoba. Siku ya kwanza ku-sex naye, hakutaka kutumia kondom, nilimlazimisha atumie maana tulikuwa hatujapima, lakini aligomagoma mpaka tukaahirisha, ingawa alikuwa analalama usiku huo kumnyima, nikamwambia haina haja ya kulalama.

Asubuhi alienda kutafuta kondom akaja tukasex lakini katikati ya gemu nikashtukia anatoa kuwa inamchelewesha kumaliza, sikutaka kupinga ikabidi niache tu amalize.

Baada ya hapo niliumia sana kufanya mapenzi bila kondom na bila kujua hali ya mwenzangu.

Sikutaka kurudiana naye tena, hadi ikaisha miezi 3 nikaenda kupima nikajikuta nipo salama, nikampa sharti la yeye kuendelea na mimi ni kupima, akakataa mahusiano yakafa.

Mwaka 2019 Machi nilkutana na kaka mmoja humu wa Dar, akaniomba tuwe kwenye mahusiano, nikaenda Dar lakini cha ajabu tuli-sex bila kinga na hatukupima, nikamuachia Mungu, ila nikavunja mahusiano baada ya kugundua ana mahusiano na mwanamke mwingine wa humu tunayefahamiana.

Mwingine akaja PM nikamwelewa wa huko huko Dar, nikamfuata. Huyu tuliingia hotel, kisha chumbani. Nikauliza kama ana kondom akasema hana, nikamwambia inabidi tulale mzungu wa nne mpaka asubuhi tukapime, tukishajua hali zetu nipo radhi kukaa hapa hotelini wiki nzima.

Akakubali kesho yake tungepima, kumbe hiyo kesho akatoweka, hakutaka tuonane, nikarudi zangu mkoani.

Nilichojifunza wanaume wengi wa JF wame-risk maisha yao kuhusu HIV.

Nimewahi kumuuliza mwanaume mmoja humu wa JF kwa nini wanaume wengi mnakuwa na kondom mfukoni lakini inapofika kwenye sex hamtumii zile kondom?

Alichonijibu ni kuwa ni kweli Dada, kinachotokea ni kuwa unaweza ukawa na dhamira ya kutumia kondom lakini wakati mpo chumbani, uzuri wa kasura, umbile, chuchu na mapaja na hata huko nyuma pameumuka vizuri; ile dhamira ya kutumia kondom hutoweka, hujitoa kula nyama nyama kwa sababu hatafaidi uzuri alio uona.

Ndo maana siku hizi sitaki wanaume PM.

Wanaume wa JF take care, wengi muna shule kichwani lakini mnadharau sana matumizi ya kondom na kuchek afya zenu.
Yaani nilipe nauli, chakula, Vinywaji, Gesti, bado nikulipe na pesa halafu bado nitumie kondomu!
Yaani ni sawa na kutoa mchango wa sherehe halafu unafika kwenye party unakaa nje wenzako wako ukumbini
 
Katika hao sita Mshana anakosa kweli?
Tangu lini watatu wakawa wengi? Labda kama anazungumzia watatu kwa mwezi...

Kuna kabinti hapa nakahifadhi jina naona kanamchamba mleta mada wakati mimi babu yenu nina ushahidi kameshabanduliwa na njemba kama 6 hivi za hapa JF. Mi simo lakini maana ilitokea kwa bahati mbaya tu...
 
Naona hii wiki ya kukili tu.siku ya ukimwi imeambatana na upepo wa ki gwaji boy watu wanafunguka hatari.Apa bado kidogo wataanza kutuambia na style zao za kulana wanazotumia.Apo walio sex nawe walikuwa wanatafuata neno nmeadhilika,walipoona niko safe kama nawaona wanavyoshusha pumzi[emoji2][emoji2]
 
Siyo kazi yangu ili mpenz aridhike kuwa na mimi
Ila kukaa muda mrefu bila kuifinyia kwa ndani sio kumridhisha mwanaume, as long as unatoka Bukoba doubtless unaifinyia kwa ndani effectively and efficiently
 
Mnawapataje wapenzi huku JF maana wengi wanatumia majina Fake ? Na Ni ni link ipi ya kuwapata?
We tumia mbinu kama yangu..Mimi nikimtaka manzi wa humu natumiaga Id nyingine ambayo huwa najifanya mfanyabiashara wa kusafirisha bidhaa kutoka nchi mbalimbali kama China, Dubai nk. Kumbe kiuhalisia mimi nauzaga majeneza na vumbi la Congo hapa Dodoma na sijawahi hata kutoka nje ya nchi.
Ila kwa hiyo Id fake nimefanikiwa kuwala mademu kadhaa humu Jf tena mmoja nilimtongozaga kwa hii Id oliginal akanitosa mpaka nikaanzisha uzi humu lakini bado akazingua eti hawezi kudate na muuza majeneza nikasema poa nikazama na Id mpya full kuposti mada za magari akawa hajastuka ndani ya siku chache nikamwibukia Pm akatoa namba nikaanza kula mzigo japo nilimwacha baada ya kugundua anapenda sana hela.!
Ila mpaka leo bado nawatafunaga humu kwa mbinu hiyo
 
Ulisema mngepima ungekaa hoteli wiki ee
Haya twende tukapime uje ukae kwangu miezi.

Nimegundua wewe unapenda sana ngono, kama sio basi hili ni tangazo la biashara.

Halafu unapenda sana wanaume wa JF kwa mentality yakua ni wasomi na pengine wana maisha.

Kuna wakina sisi huku, shauri yako.
We jamaa usituharibie bwana acha na sisi tumuonje kwanza
 
Uko Bukoba sehem gani maana mimi nko hapa town.
 
Hivi wale wanawake wagumu kutongozeka ambao mwanaume anajipanga sawasawa ili kuwapata wameenda wapi?[/QUOTE]

Walishaga kufa wote na wengine wameshazeeka.[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hapo ndipo unaweza ukapata reflection kwamba huyu dada ni binti wa aina gani, maana ndie binti wa kwanza kukiri kuifuata mikuyenge mingi zaidi kutoka humu Jf....
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji3516]
 
Back
Top Bottom