Nilichogundua wanaume wengi wa JF hawatumii kondom, wanapenda 'Unprotected Sex'

Mmmmm mwanamke waki Tanzania uende kwakwe akatae kulala na mpenz wake alafu akamchikulie lodge mwanaume?
 
Wanaume wa mitandaoni si ndo hao hao walioko mtaani?
 
Yaani nilipe nauli, chakula, Vinywaji, Gesti, bado nikulipe na pesa halafu bado nitumie kondomu!
Yaani ni sawa na kutoa mchango wa sherehe halafu unafika kwenye party unakaa nje wenzako wako ukumbini
 
Katika hao sita Mshana anakosa kweli?
 
Naona hii wiki ya kukili tu.siku ya ukimwi imeambatana na upepo wa ki gwaji boy watu wanafunguka hatari.Apa bado kidogo wataanza kutuambia na style zao za kulana wanazotumia.Apo walio sex nawe walikuwa wanatafuata neno nmeadhilika,walipoona niko safe kama nawaona wanavyoshusha pumzi[emoji2][emoji2]
 
Siyo kazi yangu ili mpenz aridhike kuwa na mimi
Ila kukaa muda mrefu bila kuifinyia kwa ndani sio kumridhisha mwanaume, as long as unatoka Bukoba doubtless unaifinyia kwa ndani effectively and efficiently
 
Mnawapataje wapenzi huku JF maana wengi wanatumia majina Fake ? Na Ni ni link ipi ya kuwapata?
We tumia mbinu kama yangu..Mimi nikimtaka manzi wa humu natumiaga Id nyingine ambayo huwa najifanya mfanyabiashara wa kusafirisha bidhaa kutoka nchi mbalimbali kama China, Dubai nk. Kumbe kiuhalisia mimi nauzaga majeneza na vumbi la Congo hapa Dodoma na sijawahi hata kutoka nje ya nchi.
Ila kwa hiyo Id fake nimefanikiwa kuwala mademu kadhaa humu Jf tena mmoja nilimtongozaga kwa hii Id oliginal akanitosa mpaka nikaanzisha uzi humu lakini bado akazingua eti hawezi kudate na muuza majeneza nikasema poa nikazama na Id mpya full kuposti mada za magari akawa hajastuka ndani ya siku chache nikamwibukia Pm akatoa namba nikaanza kula mzigo japo nilimwacha baada ya kugundua anapenda sana hela.!
Ila mpaka leo bado nawatafunaga humu kwa mbinu hiyo
 
We jamaa usituharibie bwana acha na sisi tumuonje kwanza
 
Uko Bukoba sehem gani maana mimi nko hapa town.
 
Hivi wale wanawake wagumu kutongozeka ambao mwanaume anajipanga sawasawa ili kuwapata wameenda wapi?[/QUOTE]

Walishaga kufa wote na wengine wameshazeeka.[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Mkuu, ebu ngoja kwanza wanaume tunao ishi Dodoma tupige kura ili kabla ya kuchangia tujuwe aliye kunyandua...
Wakuu mimi naishi Dodoma ila kipindi hicho nilikuwa safari hivyo msinihesabu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hapo ndipo unaweza ukapata reflection kwamba huyu dada ni binti wa aina gani, maana ndie binti wa kwanza kukiri kuifuata mikuyenge mingi zaidi kutoka humu Jf....
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji3516]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…