Nilichogundua wanaume wengi wa JF hawatumii kondom, wanapenda 'Unprotected Sex'

Mama unafanya shughuli gani zinazokufanya uwe free kwenda Dodoma, mara Dar na mara nyingine kwenda Dar ukaweza kutaka kukaa wiki nzima?

Najua hapa kuna mifano mingine umeiminya. Nataka zaidi.
Yeye mara zote waliomkula kavu hawakumpa moto,amepima na yupo okey.
 
Utafiti wako umeufanya kwa wangapi hadi kufikia hitimisho hilo Aikambee?

Nimesoma post ya Priscallia namna alivyopata 'HIV' na namna alivyokuwa akigawa uroda kwa wanaume wa JF.

Pia nimezingatia post ya cutelove

Mimi mwenyewe nimewahi kutongoza humu nikakubaliwa ila nilikacha kuonana nao.

Hao wadada ni as follows:

Nitataja herufi za mwanzo za ID tu:

1.Ca

2.fe

3.ma

4. Me
Huyo me alinisimulia jinsi alivyosex na mwanaume wa JF japo ana mume na kuniambia kwamba Huyo mwanaume alimtia vizuri kuliko mumewe na hajawahi pata boro tamu as such.
Wengine sikumbuki

Pia nimezingatia comments za wanaume kwenye post mbalimbali humu JF
 
Kudaddeeekkii wallaii
 
Gonjwa hili limezua mzozo, gumzo, gumzo! Kwa masista du na mablazameni...huu wimbo nani yuko nao anisaidie?
 
Hatari sanaaaaaaa
Upo??? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji126][emoji126][emoji126][emoji126][emoji126][emoji126][emoji126][emoji126]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…