Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Swali zuri kweliKwanini wewe huzinunui kama kweli unajipenda, ukaziweka kwenye mkoba wako?
Najuwa umeshangaa jinsi orodha ilivyo kuwa ndefu, all the way from Bukoba, Dodoma, Dar, Mbeya.....teh[emoji23]Binafsi sijashangaa hilo la matumizi ya condom, ila nimeshangaa jambo jingine tu...
hahahaDuh,.hizo ruti za Dar Bukoba kisa dudu tuu halafu unataka na kondom aaahh acha utani buanaa,hauko "siriyasi" kabisaa
Safi sana mkuu, ebu ngoja tusubirie wengine wakujeNipo jijini kwa sasa.
Mm najiuliza nilikuwa wapi[emoji28][emoji28][emoji28]Jamani kwa hiyo wa mbali ndo waathirika tu,mbona hapo ulipo kuna
Waathirika kibao tu
Mkuu, umenikunbusha mbali sana kuhusu mleta mada na ule uzi....Kuna wakati niliona sredi zinatembea hapa, nikadhani wamekusingizia tu...
Sasa naona confession yako hapa nimebaki kushika tama...
Anyway, punguza kidogo kujiexpose sio watu wote wanakuwa na nia njema
[emoji23][emoji23][emoji23] Eti ka Nini,?Kamalaya haka,hakuna neno jingine.
Wanawake wa bukoba kama choroko tu unatia maji mara moja tayari zimeshalainikaNani kakwambia kondom zinazuia ukimwi? Watu wanakuja na test pqck wanakupima ngwengwe halafu wanapaka ky mwanaume unateleza tu kokote. Na we kushinda na wanaume wa mitandao kwani huko bukoba hamna wanaume?
Lakini wewe ndio utakuwa unajua unafanya nini. Kipo bora kuonekana 'sex worker' au kulinda afya yako?Ukiwa nazo kwenye mkoba wanaweza wakafikiri wew ni sex worker.
Mno yani, nilikuambia kesho unayomaanisha sio kesho niiijuayo mimi si unaona sasa?Hatari sanaaaaaaa