Nilichogundua wanaume wengi wa JF hawatumii kondom, wanapenda 'Unprotected Sex'

Nilichogundua wanaume wengi wa JF hawatumii kondom, wanapenda 'Unprotected Sex'

Watu wamejiunga humu J.f kwa malengo tofauti,hongera sana mrembo wewe ni mmoja wa wanufaika na hii J.f yetu.
 
Oleke obusiani, wakuondela ota abaishaja otyo'si? Okwo kujanga. Mara washonaza kugamba mbali okuluga. Nkyo bakubajumila
 
Hahahaaaa............kumbe wewe ni chakula cha wanaume wa JF
Anyway...... kama ndo sura yako wa profile acha na mie nije PM nionje kwama wenzangu maana kizuri ule na mwenzio
 
Duh,.hizo ruti za Dar Bukoba kisa dudu tuu halafu unataka na kondom aaahh acha utani buanaa,hauko "siriyasi" kabisaa
Hao mbona ni wengi tuu yeye raha kwake ni majiran na rafiki zake wasikie kaenda Dar, hata kama aliyemwita hatompa kitu isipokuwa nauli tu.Na wengine unakuta ni mke wa mtu atatafta kisingizio chochote ilimradi aende Dar.
 
Hapo ndipo unaweza ukapata reflection kwamba huyu dada ni binti wa aina gani, maana ndie binti wa kwanza kukiri kuifuata mikuyenge mingi zaidi kutoka humu Jf....
Acheni kumuandama Dada wa watu wapo wengi tu wanaofuata ni suala la kupenda tu. Kwa ni dar kitu gani? Wanaume tumezifuata k kilometa ngapi, tumeyumia shi ngapi? Au kwa kuwa yeye mwanamke? Dada hujakosea kitu wabongo ndivyo tulivyo. Hao wanawake wenzako wanaokuponda wameshasafiri saana kuzifuata tena na kuhonga juu sema wanaona sibu kusema.
 
Acheni kumuandama Dada wa watu wapo wengi tu wanaofuata ni suala la kupenda tu. Kwa ni dar kitu gani? Wanaume tumezifuata k kilometa ngapi, tumeyumia shi ngapi? Au kwa kuwa yeye mwanamke? Dada hujakosea kitu wabongo ndivyo tulivyo. Hao wanawake wenzako wanaokuponda wameshasafiri saana kuzifuata tena na kuhonga juu sema wanaona sibu kusema.
Dada, ebu kwanza naomba nikuombe samahani kama pengine nimekosea kutoa maoni (kwa uhuru) binafsi.
Pili nikuweke wazi tu kwamba mimi ni baba, tena Nina mke na watoto. Hivyo naomba tu ujiheshimu ili utunze utu wako, na usijidanganye kamwe kujipandisha kwa kunitumia mimi kama ngazi.
Tena.... Ukirudia ntakuchamba hata zaidi ya mkono wa kuchambia mavi.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaani unavaa condom, unapiga deki kwa ulimi, unakula mate, unampiga mtoto finger. Afu eti unakwepa Ngoma

Hahahaha... Hii ni sawa na kuvaa ndala ukakanyaga mavi na ukayatoa kwa vidole. Suala la kuzama chumvini limepata nguvu sana, mie nasema kuzama chumvini ni mpaka tuwe tumepima Afya zetu. Sio hii midemu inayosafiri kutoka mkoa mmoja hadi mwingine kunyanduliwa. Tena sio mara moja daah. Ila mie humu kuna mdada mpaka leo namkubali sana na niliwahi date naye ila tukaachana, ni mstarabu na sikutegemea kama atakuja kuwa rafiki na msaada miubwa kwangu pamoja nakuachana kwetu.
Mankaaa popote ulipo nakukubali sana mwanangu[emoji132]


Happy dude [emoji67]‍[emoji538]
 
Dada upo makini sana na afya usiogope maneno ya watu.
"Usalama kwanza" mambo mengine baadae.
 
Back
Top Bottom