Nilichogundua watu hawafungi

Nilichogundua watu hawafungi

Mwachiluwi

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2022
Posts
25,258
Reaction score
48,589
Nilicho kuja kugundua watu hawafungi kweli wana funga kufwata mkumbo mtu anafunga anawaza ramadhani iishe anasema kabisa iddi mosi naenda kusex mbaya zaidi anatongoza uku akiwa kwenye mfungo

Hii ina maana kwamba watu mfungo wanafunga kinafiki sana haina maana ya wao kufunga
 
Nilicho kuja kugundua watu hawafungi kweli wana funga kufwata mkumbo mtu anafunga anawaza ramadhani iishe anasema kabisa iddi mosi naenda kusex mbaya zaidi anatongoza uku akiwa kwenye mfungo

Hii ina maana kwamba watu mfungo wanafunga kinafiki sana haina maana ya wao kufunga
Wafunge au wasifunge inatuhusu nini? Kwanini kushinda njaa wakati chakula jaro au ni kutojua kuwa waarabu walikuwa wakifunga kwa vile hawakuwa na chakula cha kutosha>
 
Back
Top Bottom