adrenaline
JF-Expert Member
- Jun 17, 2015
- 3,152
- 4,843
Mambo ya watu hayoAfe njaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mambo ya watu hayoAfe njaa
Binadamu Na Unafiki Wametenganishwa na Mstari Mwembamba Sana".Nilicho kuja kugundua watu hawafungi kweli wana funga kufwata mkumbo mtu anafunga anawaza ramadhani iishe anasema kabisa iddi mosi naenda kusex mbaya zaidi anatongoza uku akiwa kwenye mfungo
Hii ina maana kwamba watu mfungo wanafunga kinafiki sana haina maana ya wao kufunga
Watu na mambo yao yamewashindaMambo ya watu hayo
Ndicho kinawatesa kabisa yaan mtu yupo lwaajili ya watu wamuoneBinadamu Na Unafiki Wametenganishwa na Mstari Mwembamba Sana".
Hawaishi kwa Dhamira Wanaishi kuonekana
Sana af sijawai ona thread yako ujueInashangaza sana
Sana af sijawai ona thread yako ujue
Ngoja nipitie leoZipo nyingi
Kuna Tamu za numbie
Tusome biblia
Facebook kuna vituko
Kabisa ninatongozwa kama kawaida na kuliwa naliwa kama kawaida, ni bora tu wale kwa kweli hahhaha, watu wamejaa unafki sana wakidhani Mungu hawaoni, Mungu sio wakumnafikia jaman hahahhNilicho kuja kugundua watu hawafungi kweli wana funga kufwata mkumbo mtu anafunga anawaza ramadhani iishe anasema kabisa iddi mosi naenda kusex mbaya zaidi anatongoza uku akiwa kwenye mfungo
Hii ina maana kwamba watu mfungo wanafunga kinafiki sana haina maana ya wao kufunga
KabisaaShee Mola wetu ndo mjuzi anatujua zaidi
ila ujue kukaa bila kupiga nyapu kipengele
no wonder Ki akaona afosi tu anunue
Wanasema kuwa ukifutur haina madhara ukifanya chochote anakuwa kasha funguliaKuna sheikh anaitwa shekh Bakari kila akishafuru jioni tunakula nae bia na konyagi,sasa sijui anafunga kitu gani?
Sasa kuna wale wanafiki zaidi wanaofunga kisha wanawapiga wenzao wanaokula mchana. Unashindwa kuelewa amefunga nini kama ana nia ovu ya kuwapiga wasiofunga. Hiyo ni imani ya kishetwainNilicho kuja kugundua watu hawafungi kweli wana funga kufwata mkumbo mtu anafunga anawaza ramadhani iishe anasema kabisa iddi mosi naenda kusex mbaya zaidi anatongoza uku akiwa kwenye mfungo
Hii ina maana kwamba watu mfungo wanafunga kinafiki sana haina maana ya wao kufunga
Wani mtu aliyefunga haruhusiwi ku sex Iddi Mosi?Nilicho kuja kugundua watu hawafungi kweli wana funga kufwata mkumbo mtu anafunga anawaza ramadhani iishe anasema kabisa iddi mosi naenda kusex mbaya zaidi anatongoza uku akiwa kwenye mfungo
Hii ina maana kwamba watu mfungo wanafunga kinafiki sana haina maana ya wao kufunga
Acha wateseke! Wanalazimishwa kufunga wakidhani kwa kufuata sheria za dini watamwona Mungu. Wakuhubiriwa habari njema za Yesu Kristo kuwa yeye ndiye Njia na kweli hataki kusikia. Siku wakifa ndipo watakujagundua kuwa dini haimpi mtu uzima.Nilicho kuja kugundua watu hawafungi kweli wana funga kufwata mkumbo mtu anafunga anawaza ramadhani iishe anasema kabisa iddi mosi naenda kusex mbaya zaidi anatongoza uku akiwa kwenye mfungo
Hii ina maana kwamba watu mfungo wanafunga kinafiki sana haina maana ya wao kufunga