Nilichogundua watu hawafungi

Nilichogundua watu hawafungi

Nilicho kuja kugundua watu hawafungi kweli wana funga kufwata mkumbo mtu anafunga anawaza ramadhani iishe anasema kabisa iddi mosi naenda kusex mbaya zaidi anatongoza uku akiwa kwenye mfungo

Hii ina maana kwamba watu mfungo wanafunga kinafiki sana haina maana ya wao kufunga
Binadamu Na Unafiki Wametenganishwa na Mstari Mwembamba Sana".

Hawaishi kwa Dhamira Wanaishi kuonekana
 
Jinsi mlivyo bize kuwalazimisha walio funga kinafiki wale mchana

Hizo NGUVU mngeziamishia kuwapelekea maskini ambao hawana chakula wapate na wao kula..

Msiwekee nguvu (Negative) nyingi kwenye positive things badala pambaneni wasio na chakula nao wapate kula
 
Nilicho kuja kugundua watu hawafungi kweli wana funga kufwata mkumbo mtu anafunga anawaza ramadhani iishe anasema kabisa iddi mosi naenda kusex mbaya zaidi anatongoza uku akiwa kwenye mfungo

Hii ina maana kwamba watu mfungo wanafunga kinafiki sana haina maana ya wao kufunga
Kabisa ninatongozwa kama kawaida na kuliwa naliwa kama kawaida, ni bora tu wale kwa kweli hahhaha, watu wamejaa unafki sana wakidhani Mungu hawaoni, Mungu sio wakumnafikia jaman hahahh
 
Kuna sheikh anaitwa shekh Bakari kila akishafuturu jioni tunakula nae bia na konyagi,sasa sijui anafunga kitu gani?
 
Kuna sheikh anaitwa shekh Bakari kila akishafuru jioni tunakula nae bia na konyagi,sasa sijui anafunga kitu gani?
Wanasema kuwa ukifutur haina madhara ukifanya chochote anakuwa kasha fungulia
 
Nilicho kuja kugundua watu hawafungi kweli wana funga kufwata mkumbo mtu anafunga anawaza ramadhani iishe anasema kabisa iddi mosi naenda kusex mbaya zaidi anatongoza uku akiwa kwenye mfungo

Hii ina maana kwamba watu mfungo wanafunga kinafiki sana haina maana ya wao kufunga
Sasa kuna wale wanafiki zaidi wanaofunga kisha wanawapiga wenzao wanaokula mchana. Unashindwa kuelewa amefunga nini kama ana nia ovu ya kuwapiga wasiofunga. Hiyo ni imani ya kishetwain
 
K
Nilicho kuja kugundua watu hawafungi kweli wana funga kufwata mkumbo mtu anafunga anawaza ramadhani iishe anasema kabisa iddi mosi naenda kusex mbaya zaidi anatongoza uku akiwa kwenye mfungo

Hii ina maana kwamba watu mfungo wanafunga kinafiki sana haina maana ya wao kufunga
Wani mtu aliyefunga haruhusiwi ku sex Iddi Mosi?
In fact,anaruhusiwa ku sex kila siku after sundown.
 
Kuna Ile mida ya taraweeeh ....aaaah tunajilia vyetu tu Kwa warembo wa kiislam na wamefunga.....
 
Nilicho kuja kugundua watu hawafungi kweli wana funga kufwata mkumbo mtu anafunga anawaza ramadhani iishe anasema kabisa iddi mosi naenda kusex mbaya zaidi anatongoza uku akiwa kwenye mfungo

Hii ina maana kwamba watu mfungo wanafunga kinafiki sana haina maana ya wao kufunga
Acha wateseke! Wanalazimishwa kufunga wakidhani kwa kufuata sheria za dini watamwona Mungu. Wakuhubiriwa habari njema za Yesu Kristo kuwa yeye ndiye Njia na kweli hataki kusikia. Siku wakifa ndipo watakujagundua kuwa dini haimpi mtu uzima.
 
Back
Top Bottom