Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
- Thread starter
- #21
Uamini kaka ?Linawezekana hili?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uamini kaka ?Linawezekana hili?
Dini ipo ila ni bangi tu ya kawaidaAhahaa wewe si ushasema hakuna dini
Watu wamashindwaShee Mola wetu ndo mjuzi anatujua zaidi
ila ujue kukaa bila kupiga nyapu kipengele
no wonder Ki akaona afosi tu anunue
Zipo. Mungu ndo hayupo.Ahahaa wewe si ushasema hakuna dini
Ukivuta sana umekwenda na majiDini ipo ila ni bangi tu ya kawaida
ThibitishaZipo. Mungu ndo hayupo.
Kama hawa mazwazwa wanaofunga wasijue wanafungia nini kwa faida ya nani?Ukivuta sana umekwenda na maji
Hujajibu swali una jua maana ya ugunduzi?Ila hao wabaya wanafanya wengine muonekane waongo
Kweli kabisa Mpaji MunguHumu kama una Imani haba waungwana wanaweza kukutoa mchezoni ndani ya dakika chache sana
Shida elimu rafiki yangu huwez ukawa unafunga uku una tongoza tongoza mnagusana gusanaKama hawa mazwazwa wanaofunga wasijue wanafungia nini kwa faida ya nani?
Watu wanavyokufa Congo huko ni uthibitisho kwangu.Thibitisha
Muuaji ni nani?Watu wanavyokufa Congo huko ni uthibitisho kwangu.
Waasi na magonjwa.Muuaji ni nani?
Sasa au umeona Mungu kashika panga kaua?Waasi na magonjwa.
Angekuwepo asingeruhusu mateso.Sasa au umeona Mungu kashika panga kaua?
Mateso yana sanabishwa na nani? Si binadamu ndio mchafuziAngekuwepo asingeruhusu mateso.
mafisadi wanaanzisha vita, wanakufa wananchi.Mateso yana sanabishwa na nani? Si binadamu ndio mchafuzi
Hapa namuhitaji KirangaMateso yana sanabishwa na nani? Si binadamu ndio mchafuzi
Mkuu bora hata hao wanaotongoza na kupanga miadi ya kutiana baada ya ramadhan kuisha, kuna walozi hao mkuu, wana mipango miovu kuliko hao wanaowazia michezo ya kuongeza idadi ya watu ulimwenguni kuliko wanaowaza kuwaua, kuwatesa watu na kukwamisha mafanikio ya wengineNilicho kuja kugundua watu hawafungi kweli wana funga kufwata mkumbo mtu anafunga anawaza ramadhani iishe anasema kabisa iddi mosi naenda kusex mbaya zaidi anatongoza uku akiwa kwenye mfungo
Hii ina maana kwamba watu mfungo wanafunga kinafiki sana haina maana ya wao kufunga
Sasa lengo lao ni kuua wana nchii kwahy hoja yako ya kusema hamna Mungu una fact ndog sanamafisadi wanaanzisha vita, wanakufa wananchi.