Nilichogundua watu hawafungi

Nilichogundua watu hawafungi

Nilicho kuja kugundua watu hawafungi kweli wana funga kufwata mkumbo mtu anafunga anawaza ramadhani iishe anasema kabisa iddi mosi naenda kusex mbaya zaidi anatongoza uku akiwa kwenye mfungo

Hii ina maana kwamba watu mfungo wanafunga kinafiki sana haina maana ya wao kufunga
Mkuu bora hata hao wanaotongoza na kupanga miadi ya kutiana baada ya ramadhan kuisha, kuna walozi hao mkuu, wana mipango miovu kuliko hao wanaowazia michezo ya kuongeza idadi ya watu ulimwenguni kuliko wanaowaza kuwaua, kuwatesa watu na kukwamisha mafanikio ya wengine
 
Back
Top Bottom