Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
Dini zinatesa sana watuNilicho kuja kugundua watu hawafungi kweli wana funga kufwata mkumbo mtu anafunga anawaza ramadhani iishe anasema kabisa iddi mosi naenda kusex mbaya zaidi anatongoza uku akiwa kwenye mfungo
Hii ina maana kwamba watu mfungo wanafunga kinafiki sana haina maana ya wao kufunga
Ni kweli ni sawa na kushinda njaa unafunga mawazo yapo kwenye uzinzi kweliMkuu usitoe siri
Dogo anauza ramani ya vitaMkuu usitoe siri
Wafunge au wasifunge inatuhusu nini? Kwanini kushinda njaa wakati chakula jaro au ni kutojua kuwa waarabu walikuwa wakifunga kwa vile hawakuwa na chakula cha kutosha>Nilicho kuja kugundua watu hawafungi kweli wana funga kufwata mkumbo mtu anafunga anawaza ramadhani iishe anasema kabisa iddi mosi naenda kusex mbaya zaidi anatongoza uku akiwa kwenye mfungo
Hii ina maana kwamba watu mfungo wanafunga kinafiki sana haina maana ya wao kufunga
Sana watu waishi kwenye uhalisia wao tu huwezi kusema unafunga then unatongoza tongoza au mchepuko wako una mpa likizo ukifungua saa 12 saa moja upo kwa mcgepuko mnashikana shikanaDini zinatesa sana watu
Ni kweli ila sasa hakuna haja ya kufunga kama huwezi acha wachie wenyeDini ni kionjo tu.
Hakuna mtu anayezifuata 100%.
Ahahah dah kashesheWafung au wasifunge inatuhusu nini? Kwanini kushinda njaa wakati chakula jaro au ni kutojua kuwa waarabu walikuwa wakifunga kwa vile hawakuwa na chakula cha kutosha>
Kufunga ni mtokeo ya mijitu kukariri bila kujua chanzo cha hii kitu. Mijitu mingi maskini inaishi kwa kufunga hata bila ramadhani, sasa funga ya nini kama siyo kujitesa kiakili na kibaolojia?Ahahah dah kasheshe
Ila hao wabaya wanafanya wengine muonekane waongoMkuu una fahamu maana ya ugunduzi?.
halafu ushahidi wa watu wawili au watatu, usi kufanye uhitimishe kuwa kila mmoja yuko hivyo.
Kuna watu wana imani na wana jitahidi kufunga kwa Nia.
Hakuna haja ya kushiriki ngono nje ya ndoa.hakuna haja ya kufunga kama huwezi acha wachie wenye
Elimu muhimuKufunga ni mtokeo ya mijitu kukariri bila kujua chanzo cha hii kitu. Mijitu mingi maskini inaishi kwa kufunga hata bila ramadhani, sasa funga ya nini kama siyo kujitesa kiakili na kibaolojia?
Ahahaha kazi ipo unachagua kusimamaHumu kama una Imani haba waungwana wanaweza kukutoa mchezoni ndani ya dakika chache sana
Linawezekana hili?Sana watu waishi kwenye uhalisia wao tu huwezi kusema unafunga then unatongoza tongoza au mchepuko wako una mpa likizo ukifungua saa 12 saa moja upo kwa mcgepuko mnashikana shikana
Ahahaa wewe si ushasema hakuna diniHakuna haja ya kushiriki ngono nje ya ndoa.
Hakuna haja ya kuiba.
Hakuna haja ya kudanganya.
Hakuna haja ya wivu, chuki na unyanyasaji.
Dunia haina haki wewe.