Nilichogundua watu hawafungi

Mkuu bora hata hao wanaotongoza na kupanga miadi ya kutiana baada ya ramadhan kuisha, kuna walozi hao mkuu, wana mipango miovu kuliko hao wanaowazia michezo ya kuongeza idadi ya watu ulimwenguni kuliko wanaowaza kuwaua, kuwatesa watu na kukwamisha mafanikio ya wengine
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…