Nilichojifunza baada ya kupitia mikataba ya makubaliano mbalimbali ya DP World

Nilichojifunza baada ya kupitia mikataba ya makubaliano mbalimbali ya DP World

Wewe umefanya utafiti kuhusu mikataba ya DP World, sawa. Lakini, DP World inaingizwa nchini na Bunge la JMT kupitia mgongo wa nchi yao ya Dubai, kwa makubaliano ya ushirikiano wa kiuchumi na kijamii (IGA) kati ya nchi yao Dubai na Tanzania.

Makubaliano hayo, yaliyotiwa saini na Waziri, kwa niaba ya Serikali, na kubarikiwa na Bunge, sasa rasmi ni Mkataba wa Ushirikiano, ukiwa hauna muda wa ukomo wala nafasi ya Tanzania kujitoa, labda, labda kuurekebisha.

Mkataba huo (IGA) unaitambua DP World kama kampuni pekee itakayotekeleza miradi yote ya bandari zote na maeneo ya uwekezaji Tanzania Bara kwa muda ambao ushirikiano huo utadumu (Ibara ya 5 ya IGA). Hii ina maana gharama za miradi hiyo, pasipo ushindani dhidi ya DP World, zitabebwa na Tanzania Bara.

Yawezekana, mashauri dhidi ya DP World duniani kote, ndio yamepelekea kuingia Tanzania kwa mgongo wa nchi yao, Dubai. Nasema hivyo kwani tayari kulikuwa na maelewano (MoU) kati yao (DP World) na TPA, Shirika letu la Bandari, uliotiwa sahihi tarehe 22/2/2022. IGA imetiwa sahihi tarehe 3/10/22, ndani ya miezi 12, kama ilivyotakiwa.

Kwa mantiki hiyo, IGA ni mkataba wa kimangumashi na Tanzania tumeingizwa mkengeni.

WAJINGA NDIO WALIWAO
Mkuu Dubai sio nchi.
 
  • Thanks
Reactions: RNA
Shida kwenye DP world ziko tatu:
1. Wapigaji na wenye maslahi binafsi na bandari lazima wapinge mirija yao kukatwa;
2. Watanzania wengi ni wakurupukaji na wadandia hoja. Wengi wanaopinga hata huo mkataba hawajauona wala kuusoma lakini kwa kuwa ni bendera fuata upepo wanapinga tu; na,
3. Kwa kuwa DP World ni kampuni ya Dubai na ni Waarabu sishangai kuona upinzani umekuwa mkubwa sana. Hili linafahamika sana kwa mazingira ya nchi yetu yalivyo. Kama wangekuwa Wazungu povu lisingekuwa kubwa hivi
 
Yani huu ni mkataba wa kitapeli sana tu.
Nchi zingine zimewakabidhi baadhi ya bandari zao, sisi tunawapa bandari zote. Bila hata kufanya nao biashara na kuwajua vizuri!
Nchi zingine zimeweka muda wa mkataba, 20 yrs, 30yrs nk, sisi mkataba wetu ni wa milele. Huu kama siyo ujinga ni kitu gani?
Ni wakati wa watanzania kuamka toka usingizini.
Kwani Prof mbawala anasemaje ?
 
  • Thanks
Reactions: RNA
"Wanasheria wazoefu kama TUNDU LISSU na KIBATALA"

Hizi ni [emoji706][emoji706][emoji706]
 
  • Thanks
Reactions: RNA
Wewe umefanya utafiti kuhusu mikataba ya DP World, sawa. Lakini, DP World inaingizwa nchini na Bunge la JMT kupitia mgongo wa nchi yao ya Dubai, kwa makubaliano ya ushirikiano wa kiuchumi na kijamii (IGA) kati ya nchi yao Dubai na Tanzania.

Makubaliano hayo, yaliyotiwa saini na Waziri, kwa niaba ya Serikali, na kubarikiwa na Bunge, sasa rasmi ni Mkataba wa Ushirikiano, ukiwa hauna muda wa ukomo wala nafasi ya Tanzania kujitoa, labda, labda kuurekebisha.

Mkataba huo (IGA) unaitambua DP World kama kampuni pekee itakayotekeleza miradi yote ya bandari zote na maeneo ya uwekezaji Tanzania Bara kwa muda ambao ushirikiano huo utadumu (Ibara ya 5 ya IGA). Hii ina maana gharama za miradi hiyo, pasipo ushindani dhidi ya DP World, zitabebwa na Tanzania Bara.

Yawezekana, mashauri dhidi ya DP World duniani kote, ndio yamepelekea kuingia Tanzania kwa mgongo wa nchi yao, Dubai. Nasema hivyo kwani tayari kulikuwa na maelewano (MoU) kati yao (DP World) na TPA, Shirika letu la Bandari, uliotiwa sahihi tarehe 22/2/2022. IGA imetiwa sahihi tarehe 3/10/22, ndani ya miezi 12, kama ilivyotakiwa.

Kwa mantiki hiyo, IGA ni mkataba wa kimangumashi na Tanzania tumeingizwa mkengeni.

WAJINGA NDIO WALIWAO
Bunge ambalo lilipatikana kwa uchaguzi wa kishenzi wa 2020 ndio limetumika kubariki hizo hujuma dhidi ya raslimali za watanganyika.
 
  • Thanks
Reactions: RNA
Juzi ilikuwa kuwatimua wamasai, jana ilikuwa bandari kesho itakuwa Nini?
 
  • Thanks
Reactions: RNA
Yani huu ni mkataba wa kitapeli sana tu.
Nchi zingine zimewakabidhi baadhi ya bandari zao, sisi tunawapa bandari zote. Bila hata kufanya nao biashara na kuwajua vizuri!
Nchi zingine zimeweka muda wa mkataba, 20 yrs, 30yrs nk, sisi mkataba wetu ni wa milele. Huu kama siyo ujinga ni kitu gani?
Ni wakati wa watanzania kuamka toka usingizini.
Tutaamkaje na tunafikilia kwa matako na sio akili ??sisi ni viazi vitamu
 
  • Thanks
Reactions: RNA
Back
Top Bottom