Nilichojifunza jukwaa hili... ni udanganyifu wa members

Nilichojifunza jukwaa hili... ni udanganyifu wa members

ferre.g

JF-Expert Member
Joined
Mar 3, 2013
Posts
2,215
Reaction score
329
Wadau humu kuna watu wanajiita ni wakulima wa viazi, vitunguu, nyanya, tikiti nk mradi yumo tu naye..

Anafikia wakati anasema um pm... Ili aku add group Fulani labda vitunguu nk....

Uki mp hana mrejesho zaidi anakujibu Mkuu nimekusoma...

Wengi wao ni waongo si wakulima ila wana bate tuuu na si wajasiria amali kma lilivo lengo la jukwaa hili.

Wengine hufikia hadi kutoa bei ya soko as if amelihandle soko mkononi mwake...

Narudia 89%ya wadau hawa ni waongo na matapeli wa mkulima...

Asanteni na mbadilike wakuuu mwaka mpya waja. Amina
 
Si utapeli katika kilimo ila kuna utapeli wa kila nyanja upo humu ndani, hadi utapeli wa kujifanya much know wa kila jambo, utapeli wa hoja, na wengine humu ndani wamegeuka kama admin na kugeuza jukwaa kama pool table, nimekupata
 
Si utapeli katika kilimo ila kuna utapeli wa kila nyanja upo humu ndani, hadi utapeli wa kujifanya much know wa kila jambo, utapeli wa hoja, na wengine humu ndani wamegeuka kama admin na kugeuza jukwaa kama pool table, nimekupata

Umenena Ukweli Mkuu..... Kuna mkulima wa vitunguu humu anadai huuza hadi laki gunia... Na ameenda mbele hadi anasema ni pm niku add ktk whatsapp... Tuwe karibu zaidi kumbe tapeli tu....

Wengine ndo kma ulivonena utadhani jukwaa admn kumbe upuuz mtupu
 
Naomba mnisaidie mtu ampepost alafu anasema uki pm anamaana gan.naomba kirefu cha pm.
 
Si utapeli katika kilimo ila kuna utapeli wa kila nyanja upo humu ndani, hadi utapeli wa kujifanya much know wa kila jambo, utapeli wa hoja, na wengine humu ndani wamegeuka kama admin na kugeuza jukwaa kama pool table, nimekupata

sina hamu kabisa nilituma hela kwa mtu ya kuleta kuku wa kienyeji mpaka leo afadhali angeniletea hata manyai aniambie kachukue sehemu fulani nusu ya pesa niliompa weee...

kingine nikaingia chaka nikaletewa kuku toka mkoani uwi nikampa chanjo yote siku ya tisa wamelala wote
Bwana ametoa bwana ametwaa
 
Naomba mnisaidie mtu ampepost alafu anasema uki pm anamaana gan.naomba kirefu cha pm.

PM ni private message so nikitendo cha kumuandikia mtu message kwenye mtandao wa kijamii wa jamii forum
 
sina hamu kabisa nilituma hela kwa mtu ya kuleta kuku wa kienyeji mpaka leo afadhali angeniletea hata manyai aniambie kachukue sehemu fulani nusu ya pesa niliompa weee...

kingine nikaingia chaka nikaletewa kuku toka mkoani uwi nikampa chanjo yote siku ya tisa wamelala wote
Bwana ametoa bwana ametwaa
Hamu jukwaani, ni sehemu ambayo ile dhana ya Prof. "...akiri ya kuambiwa..." Ndio inatakiwa kutumika kwa makini sana hata ikiwezekana kuliko sehemu ingine. Pole sana.
 
Umenena Ukweli Mkuu..... Kuna mkulima wa vitunguu humu anadai huuza hadi laki gunia... Na ameenda mbele hadi anasema ni pm niku add ktk whatsapp... Tuwe karibu zaidi kumbe tapeli tu....

Wengine ndo kma ulivonena utadhani jukwaa admn kumbe upuuz mtupu

Pole sana
 
Huu ujumbe umfikie matola kule Siasani na MMU. Matapeli ni wengi sana hapa jf... unajua inatokana na nini? Wengi majobless
 
sina hamu kabisa nilituma hela kwa mtu ya kuleta kuku wa kienyeji mpaka leo afadhali angeniletea hata manyai aniambie kachukue sehemu fulani nusu ya pesa niliompa weee...

kingine nikaingia chaka nikaletewa kuku toka mkoani uwi nikampa chanjo yote siku ya tisa wamelala wote
Bwana ametoa bwana ametwaa

Pdidy wewe ni kati ya member wakongwe wa jf inasikitisha kuona una tapeliwa kizembe(lack of a better word) rules za jf ziko open na mod wanatoa angalizo la uwepo wa matapeli hapa jf,na wametoa njia za kufanya biashara kupitia jf lazma uwashirikishe wao mods kwa usalama zaidi.

sio kama nakulaumu but najaribu kukumbusha tu nendeni kwa step msipende haraka ina umiza.

otherwise pole sana kwa yaliyo kukuta jifunze kutokana na makosa.
 
Last edited by a moderator:
pdidy wewe ni kati ya member wakongwe wa jf inasikitisha kuona una tapeliwa kizembe(lack of a better word) rules za jf ziko open na mod wanatoa angalizo la uwepo wa matapeli hapa jf,na wametoa njia za kufanya biashara kupitia jf lazma uwashirikishe wao mods kwa usalama zaidi.

Sio kama nakulaumu but najaribu kukumbusha tu nendeni kwa step msipende haraka ina umiza.

Otherwise pole sana kwa yaliyo kukuta jifunze kutokana na makosa.

kweli mkuuu kupotea wakati wa kwenda kurudi tunarudi wenyewe

thx mkuu nimejifunza mengi
 
How can you send private message?
Click jina la unae ntaka apate pm yako.. Zen utaona sehemu ya juu kuna maelezo mf.... Send private message nk...
Elimika nawe uu zuzu mno
 
Shida wengi wetu tunapenda mafanikio kwa speed ya ferrary polepole ndo mwendo
Pole sana ila inatubidi tuwe makini sana
 
Wakuu lazima tufahamu unapotaka kufanya biashara au jambo lolote la maendeleo tuepuke kuagiza mtu akufanyie tujaribu kujitosa wenyewe kama kweli tumeamua kufanya jambo kwa dhati. Hakuna uaminifu kwenye mambo ya pesa.... wanatapeliana ndugu sembuse humu Jf ambapo hata hatufahamiani!
 
Back
Top Bottom