Nilichojifunza jukwaa hili... ni udanganyifu wa members

Nilichojifunza jukwaa hili... ni udanganyifu wa members

Poleni wana JF kwa ta bia za baadhi yetu. Na mimi nikitokea nimemtapeli mtu mniambie tu jamani maana inauma kudanganywa na mtu uliemwamini
 
Wadau humu kuna watu wanajiita ni wakulima wa viazi, vitunguu, nyanya, tikiti nk mradi yumo tu naye..

Anafikia wakati anasema um pm... Ili aku add group Fulani labda vitunguu nk....

Uki mp hana mrejesho zaidi anakujibu Mkuu nimekusoma...

Wengi wao ni waongo si wakulima ila wana bate tuuu na si wajasiria amali kma lilivo lengo la jukwaa hili.

Wengine hufikia hadi kutoa bei ya soko as if amelihandle soko mkononi mwake...

Narudia 89%ya wadau hawa ni waongo na matapeli wa mkulima...

Asanteni na mbadilike wakuuu mwaka mpya waja. Amina


ulichosema ni ukweli mtupu.. ila kupitia jf hasa ujasiriamali siwezi kujutia kwani sikuwahi kufuga kuku hasa hawa wa kizungu lakini now ninao 500(broilers)... nawashukuru wachangiaji wote ambao quote zao zimenifikisha hapa nilipo... ttz tusipende kujifanya tunajua kila kitu ingawa tukiamua tunaweza tukajua kila kitu... tupunguze masikhara kwenye mambo ya msingi...
 
Back
Top Bottom