HONDA XL
Senior Member
- Apr 4, 2012
- 138
- 115
kwa kweli umenena, udanganyifu wa watu kujiita wakulima wa kitu fulani wapo, hata mimi niliwahi kutana nao, wanajiita wakulima wa vitunguu, nika-pm kwa msaada wa kupata maeneo huko walipo, nikiwa nimejieleza vya kutosha, unashangaa kimya, ukimpigia anakwambia samahani nimesafiri.
lakini hilo halifanyi jukwaa zima kuonekana la udanganyifu. wapo waaminifu kabisa na wengine binafsi nimefanya nao kazi na hata kupata ushauri wa kitaalam.
lakini hilo halifanyi jukwaa zima kuonekana la udanganyifu. wapo waaminifu kabisa na wengine binafsi nimefanya nao kazi na hata kupata ushauri wa kitaalam.