Unanipa pole ya nn sasa? Bnafs nlihtaj kujfunza tu ujasrmal lakn uk PM kmya unajibiwa tu.... Asante Mkuu au poa
sina hamu kabisa nilituma hela kwa mtu ya kuleta kuku wa kienyeji mpaka leo afadhali angeniletea hata manyai aniambie kachukue sehemu fulani nusu ya pesa niliompa weee...
kingine nikaingia chaka nikaletewa kuku toka mkoani uwi nikampa chanjo yote siku ya tisa wamelala wote
Bwana ametoa bwana ametwaa
Naomba mnisaidie mtu ampepost alafu anasema uki pm anamaana gan.naomba kirefu cha pm.
PM ni private message so nikitendo cha kumuandikia mtu message kwenye mtandao wa kijamii wa jamii forum
Kuna dada mmoja huko whatsapp...kazoazoa watu humu yaani ni anajua kila kitu, samaki yey uyoga yeye, pilipili yeye, mbuzi yeye ila kuja kuchunguza kumbe ni chenga tupu!!
Sifa moja ya ujasiriamali ni udadisi wa kina, sasa kama udadisi unafanyia humu tena PM mkiwa wawili hiyo ni dalili ya kuwa mishe za ujasi zitakushinda!!!
Sifa moja ya ujasiriamali ni udadisi wa kina, sasa kama udadisi unafanyia humu tena PM mkiwa wawili hiyo ni dalili ya kuwa mishe za ujasi zitakushinda!!!
Cc: Malila.
Kweli kabisa, utapeli pekee uliotokea ni wa Kitomari2 na toka hapo hatujasikia mtu kalalamika. Kama mmetapeliwa semeni na nani ili watu wajue. Pia majadiliano yanakuwa wazi hapa ili watu wakusaidie, kama mauziano mmeshauriwa mkono kwa mkono kama mtu humwamini. Tunaomba msiharibu sifa za jukwaa kuna wadau watu wamenunua bidhaa kwao ni waaminifu mf Malila, Chasha, Poultry Sayuni, Singo, Second Lieutenant na wengineo. Ukisikia member sio uamini wote tunajuana na hata ndugu wanaibiana jithibitishie mwenyewe ndio ulipe. Hayo whatsapp nayo ni hapa jukwaani? Mngemalizana uko uko.