Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
- Thread starter
- #21
Mmpaka kina fulani waseme.Kama ni soka brother huwez kulichambua, jaribu kuchambua tembele
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmpaka kina fulani waseme.Kama ni soka brother huwez kulichambua, jaribu kuchambua tembele
Dk umekuwaje siku hizi unalopoka lopoka tu kama mtu ameandika usichokitaka si ukae kimya hivi huon aibu!!!Umebanwa na mavi?
Mod wanasubiri umjibu vibaya wakupige ban badala ya kumshughulikia.Dk umekuwaje siku hizi unalopoka lopoka tu kama mtu ameandika usichokitaka si ukae kimya hivi huon aibu!!!
Ianachukulia kama freedom of speech na maoni, pia wanachukulia kama ni sehemu ya burudani tu.hivi kwanini wasipige marufuku? Kwa mtu asie na weledi tambuka kuchambua soka?
Unaongelea mechi ya kichawi Ile, Ile nayo ilikuwa mechi ama mauzauza ya waganga wenu wa tangaHuwa inategemea na mpinzani. Kama unakumbuka goli la Kibu D dhidi ya Yanga lilitokana na counter attack waliyofanya Simba, hadi Yanga walibaki wachezaji wawili against wanne wa Simba
Kabisa,Geita walijitahiti ila kwa juhudi za wachezaji wa Yanga lazima mfungwe tu.Mbona magoli yote yamefungwa kwenye mazingira magumu kuliko ulivyoelezea?
Kuanzia mtoa pasi hadi mfungaji wote wanakuwa wapo wanakabiliana na 'msitu' wa mabeki.
na kuucheza mpira mwingiKikubwa ni kukusanya point nyingi
Kama nilivyomropokea mamayo nimnyanduwe?Dk umekuwaje siku hizi unalopoka lopoka tu kama mtu ameandika usichokitaka si ukae kimya hivi huon aibu!!!
Football is a game of opinion.., ndio maana its a beautiful game hakuna Jibu Moja...., Hii sio Algebra, ingawa hata Quadratic Equation inaweza ikawa na jibu zaidi ya mojaBongo uchambuzi umeingiliwa, hata wachambua mchele na mboga nao wameanza kutuchambulia mpira, so imeshakua vururu vururu tu.
Kuwa open game hakumfanyi kila aliyeona kuwa ni analyst, wanaweza wakawa wasimuliaji tu au waburudikaji.Football is a game of opinion.., ndio maana its a beautiful game hakuna Jibu Moja...., Hii sio Algebra, ingawa hata Quadratic Equation inaweza ikawa na jibu zaidi ya moja
Not Open; bali Opinion..., kwahio kila mwenye opinion anaweza kufanya analysis (detailed examination).., na sababu kila anyeangalia ana opinion zake nini kilitendeka, hivyo kama akifanya detailed examination basi anafanya analysis..., kama akielezea kilichotokea basi anasimulia..., na kama anaangalia kama burudani basi ni mburudikaji na kama anapata ujira basi ni ajira yake...Kuwa open game hakumfanyi kila aliyeona kuwa ni analyst, wanaweza wakawa wasimuliaji tu au waburudikaji.
Everything is subjected to opinions mkuu, na opinions zinaweza zikatokana na hisia/mapenzi, historia, uzoefu au elimu ya mtoa maoni n.k lakini uchambuzi hasa hiyo “detailed examination” it’s too deep, haiwezi ikatolewa kwa hisia, I hope hilo unalijua vyema.Not Open; bali Opinion..., kwahio kila mwenye opinion anaweza kufanya analysis (detailed examination).., na sababu kila anyeangalia ana opinion zake nini kilitendeka, hivyo kama akifanya detailed examination basi anafanya analysis..., kama akielezea kilichotokea basi anasimulia..., na kama anaangalia kama burudani basi ni mburudikaji na kama anapata ujira basi ni ajira yake...
Nope Mkuu Hesabu haina opinions ni rules na wala sio Subjective..., Uzuri wa mtoto fulani wa Kike unaweza ukawa subjective examination detailed ni kwamba unakiongelea kitu kwa kukichambua (kwahio unachambua) hata kama unachambua mchele na unaacha pumba (yaani unapotosha watu) lakini haikuondolei kwamba umechambua - Uchambuzi ni kile kitendo cha kuchambua - Kwahio anayechambua ni mchambuzi (ubora wake katika huo uchambuzi is another matter)Everything is subjected to opinions mkuu, na opinions zinaweza zikatokana na hisia/mapenzi, historia, uzoefu au elimu ya mtoa maoni n.k lakini uchambuzi hasa hiyo “detailed examination” it’s too deep, haiwezi ikatolewa kwa hisia, I hope hilo unalijua vyema.
Wanachambua katika zile dakika tisini wanachambua kwanini hiki kimekuwa vile au yule kafanya hiki na angefanya hiki au kile ingekuwa vile.....; Huenda wanapotoka na kuongea pumba ila haiondoi uhalisia kwamba wanachofanya ni kuchambua...., Na sababu football is a game of opinions kila mtu ana opinions what is and what's not ndio maana inapendeza zaidi sababu wote tungekuwa tunakubaliana au tunawasikiliza wachache basi ingekuwa boring....Analysis ina vigezo vyake na ndiyo ninachokiongelea mimi.
Kama wangekuwa wanatoa opinions tu wala nisinge daubt, ila wao wanasema ni analysis na wanajiita wataalam
Mkuu, na wewe kwa asilimia nyingi sana, maana umeiweka vyema. Being aNope Mkuu Hesabu haina opinions ni rules na wala sio Subjective..., Uzuri wa mtoto fulani wa Kike unaweza ukawa subjective examination detailed ni kwamba unakiongelea kitu kwa kukichambua (kwahio unachambua) hata kama unachambua mchele na unaacha pumba (yaani unapotosha watu) lakini haikuondolei kwamba umechambua - Uchambuzi ni kile kitendo cha kuchambua - Kwahio anayechambua ni mchambuzi (ubora wake katika huo uchambuzi is another matter)
Wanachambua katika zile dakika tisini wanachambua kwanini hiki kimekuwa vile au yule kafanya hiki na angefanya hiki au kile ingekuwa vile.....; Huenda wanapotoka na kuongea pumba ila haiondoi uhalisia kwamba wanachofanya ni kuchambua...., Na sababu football is a game of opinions kila mtu ana opinions what is and what's not ndio maana inapendeza zaidi sababu wote tungekuwa tunakubaliana au tunawasikiliza wachache basi ingekuwa boring....