Njoo pm uninong'oneze banaaNikwambie kitu kuna watu wana id 10 moja ya wemaaa zingine za ajabu
Nataman nimuweke wazi hapaaa ila ngoja niacheee watu wajanja I'd yake huwez kuta anaandika upupu kumbe ni mbwa mwituuuuu
Sawa fisadikuuRudia kusoma tena post #44.. kuna nyongeza nimeweka
Yani hao ndo wanaweza nifool mtu kama mimi sasaNi kubahatisha tu mkuu. Kuna watu wana comments tamu lakini wapuuzi kama nini
Nimekupa likeNiko kawaida best na pia Nina marafiki wa kutosha ..kupata mpenzi sio expectations kubwa kwangu
Expectations yangu kubwa ni kuona ujamaa wenye afya ya kustawi hata kama mtakosana
Ndio maana nimesema kumjua moja kwa hutaweza ila kuna sababu ndogo ndogo unaweza ukajiongeza japo mengine ni manyokooo huwezi kuwajuaNi kubahatisha tu mkuu. Kuna watu wana comments tamu lakini wapuuzi kama nini
Kuna mtu napenda comments zake mpk nimeanza kumpenda. Anaonekana mpoleee...ila mmh!Naomba ubuyu nani Huyo. Maana na mie ni watu ninaopendaga watu kutokana na wanachoandika.
Wewe niseme tu maana najutia kuonana na wewe....Tatizo hatujaelewa kuwa watu tunaoishi nao mtaaani ndo hao hao wapo Jf tatizo tunajenga taswiraa tofauti tunawazaa vitu dhahania mtu anavyoandika comment kama kijana wa 24 kumbe muhenga wa 59 hivyo usibabaishwe na I'D.
Piah usimuamini kabisa mtu anayejificha nyuma ya keyboard.
Kama ulifanya kosa kufahamiana na watu wachache pangusaaa vumbi la takooo songa mbele anza maisha mapya kaa nao mbali.
Afu we mzigua bado nasubiri ahadi yanguNimekupa like
Sasa kuna watu wao wanatafuta watu wa kuwabandua/kubanduliwa, wanakuja kwa pupa mwisho wa siku wanajuta. Binafsi Jf Imenifunza mengi sana..Niko kawaida best na pia Nina marafiki wa kutosha ..kupata mpenzi sio expectations kubwa kwangu
Expectations yangu kubwa ni kuona ujamaa wenye afya ya kustawi hata kama mtakosana
Weka mambo hadharaniKuna mtu napenda comments zake mpk nimeanza kumpenda. Anaonekana mpoleee...ila mmh!
Halafu avatar yake sasa...Maashalaah!Yani hao ndo wanaweza nifool mtu kama mimi sasa
Mmmh nini mama?? Au umefanikiwa kujua upande wake wa pili humu? [emoji23][emoji23][emoji23]. Basi kuna member pia anaandikaga vitu utasema mtoto mdogo ila upande wa pili ni bonge la mtu yani. Yani ni mtu mwenye sura mbili tofauti.Kuna mtu napenda comments zake mpk nimeanza kumpenda. Anaonekana mpoleee...ila mmh!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].Halafu avatar yake sasa...Maashalaah!
Aisee..halafu mwenyewe hata hajui, naumia tu ndani kwa ndani.Weka mambo hadharani
Ina maana wewe hukuona kipindi kile cha watu kuumbuana humu hadi picha za nyan zikawekwa humu na mwishowe ikabidi afungue kabisa ID yenye jina lake halisi na picha yake, sitaki BAN kwa heri mkuu mwingine aendeleze
Aisee hao lazima walizwe jf kuna mapretenda balaaa ...kuna members nawavulia kofia pale popote walipoSasa kuna watu wao wanatafuta watu wa kuwabandua/kubanduliwa, wanakuja kwa pupa mwisho wa siku wanajuta. Binafsi Jf Imenifunza mengi sana..
Hahaaaa. Ukweli mchungu huu.Tatizo ni kwamba unakuwa na expectations kubwa. Kua wa kawaida, jenga urafiki taratibu na usilazimishe. Na kama nia ni kupata mpenzi basi utaangukia pua. Mapenzi yaje naturally!
Hahahahahaaaaaaa. Nishakuelewa. Sijutii wakunyumba kwa sababu I know how to deal with people.Na we hujutii eenh