Nilichojifunza kuhusu JF

Nilichojifunza kuhusu JF

Status
Not open for further replies.
Tatizo hatujaelewa kuwa watu tunaoishi nao mtaaani ndo hao hao wapo Jf tatizo tunajenga taswiraa tofauti tunawazaa vitu dhahania mtu anavyoandika comment kama kijana wa 24 kumbe muhenga wa 59 hivyo usibabaishwe na I'D.


Piah usimuamini kabisa mtu anayejificha nyuma ya keyboard.

Kama ulifanya kosa kufahamiana na watu wachache pangusaaa vumbi la takooo songa mbele anza maisha mapya kaa nao mbali.
Wewe niseme tu maana najutia kuonana na wewe....
[emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]
 
Niko kawaida best na pia Nina marafiki wa kutosha ..kupata mpenzi sio expectations kubwa kwangu

Expectations yangu kubwa ni kuona ujamaa wenye afya ya kustawi hata kama mtakosana
Sasa kuna watu wao wanatafuta watu wa kuwabandua/kubanduliwa, wanakuja kwa pupa mwisho wa siku wanajuta. Binafsi Jf Imenifunza mengi sana..
 
Kuna mtu napenda comments zake mpk nimeanza kumpenda. Anaonekana mpoleee...ila mmh!
Mmmh nini mama?? Au umefanikiwa kujua upande wake wa pili humu? [emoji23][emoji23][emoji23]. Basi kuna member pia anaandikaga vitu utasema mtoto mdogo ila upande wa pili ni bonge la mtu yani. Yani ni mtu mwenye sura mbili tofauti.

Sema kuna mmoja na mie anavyoandika nikisoma moyo unapiga ti ti ti kwa anavyonikosha. Naogopa nisije tokea kuzoeana nae halafu nikakuta sivyo ninavyomuona
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom