Raynavero
JF-Expert Member
- Apr 29, 2014
- 38,378
- 56,047
Ahsante shunie wangu mbona sie hatuchambaniMkuu si kweli ulichoongea sema tu baadhi ya watu utakaokutana nao wapo na akili za vipii
Mm binafsi sijutii watu ambao najuana nao nje ya jf tunaheshimiana mnooo kikubwa kinachotakiwa ni umakini sana wa kujuana na watu nje ya jf