Lucky Star
JF-Expert Member
- Jul 16, 2017
- 1,874
- 3,215
Hayo ni personal sana. Hayamwondolei mtu uwezo wa kufikiria.We hujawahi hata kuwa nao pm au kwe magrup ya whatsapp jaribu utaniambia wengi wanateswa na ndoa saana wengine ikiwemo kuachwa n.k
Nimekuelewa Mkuu siku Zote somo likieleweka huwa ni faraja kwa Mwalimu...Yale yale mkuu unatakiwa uwazoee tu hawa kina dada wa JF
1. Ni kitu gani hasa kilipelekea ufatilie suala hilo?Kwa kipindi ambacho nimekuwa mtiifu mzuri na mfuatiliaji wa michango mbalimbali ianzishwayo na baadhi wa member wa kike humu kwenye jamvi la mahusiano na hasa wale wanaojiita majina ya kuvutia na kuweka avatar tamanishi, kiuhalisia hao ma member hawafananani kabisa na wanayoyasema humu ndani.
Nipo tayari kusahihishwa ila ukweli ningeshauri wadada ambao ni baadhi siyo wengi jaribuni kuishi maisha halisi na siyo fabricated life.
What ever the case!Mfano tu ebu ona Mada iliyoanzishwa na huyu Member anayejiita Curious gal ati anatoa offer ya Valentine ila vigezo alivyovisema mojawapo nikuwa watachangia 50% 50% ambayo ni 11.2 Mill.... is this girl serious?????? Na wapo wengi sana
We2 nakukubali toka umenitumia ile picha yakoHaya sasa......
......Kidogo huyu nimemkubali kwa kuonyesha halisi ya maisha yao nyumbani, Ndo mwanamke walau mwenye ukweli kiasi fulan, ....Mimi hapa kibenten
Wee unafake nini best, teh!Hahaaa. Kila siku zinavyozidi kusonga mbele najikuta naipenda jf kuliko.
I love youWhat ever the case!
Inakuhusu nini hiyo?
Usipoiwazia ina madhara?
Hahaaaa huu uzi leo ni kucheka tu kama ule wa PM, duuh!!Usije ukanianika sababu si unasema ushawahi niona. Teh teh.
Hahaaaa. Basi inatosha bwana. [emoji12]
..... huwa mnanikera ninavyowaona mnanyodo kumbe sura za kiume tupu..!
Duuh kuna mazito humu hatariiSija mtaja bhana, shida ananyodo kweli nilimfukuzia nikajua dodo aisei nakuja kukutana naye limao tena bichi.
Hahaaa. Wacha kabisa yaani.Hahaaaa huu uzi leo ni kucheka tu kama ule wa PM, duuh!!
Yaani niko page ya 10 tu nishacheka sana best, ngoja nipumzike kidogo, khaaa!!Hahaaa. Wacha kabisa yaani.
Ila jf sio siri inanipa raha sana sababu sio wanaume sio wanawake tulio wengi tuna mawazo kwamba tunaoishi hii dunia ya jf basi wote tuko kipekee katika mionekano yetu kumbe sivyo.
Hivyo cheka tu best sababu maisha yenyewe ndio haya haya.
Mie pia sikuumaliza baada ya kuandika andika nikasepa zangu kumbe kuna vimbwanga.Yaani niko page ya 10 tu nishacheka sana best, ngoja nipumzike kidogo, khaaa!!
I love you too,I love you
sister.... za USA RIVER chugga??Sehemu nzuri kwa tunaopenda Day Dreaming....