YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,902
- 52,001
Ukisikia utapeli kwenye dini njoo Tanzania.
Nilichojifunza kwenye Corona Tanzaia viongozi wengi wa dini kubwa za Kikristo hawamwamini Mungu wanaamini sayansi na sio Mungu wanayemsingizia kuwa aliwaita wamtumikie.
Kuamini Mungu kuwa aweza Saidia vita dhidi ya Corona kumebaki Kwa waumini wa kawaida yaani walei wakiongozwa na mlei Rais Magufuli.
Viongozi wengi wakubwa wa dini za Kikristo wamemtelekeza Mungu kwa walei wao wametimkia kwa wanasayansi.
They believe in scientists not God. Hii kali ya mwaka! Role ya Mungu katika nchi na katika changamoto wameitupilia mbali na kuwaweka wanasayansi kuwa superior kuliko Mungu wakati mwanasayansi aliyebobea kwenye usomi wa sayansi Dk Magufuli anamtukuza Mungu wao waliokariri elimu wanayoita ya Mungu wanatukuza wanasayansi. NI UTAPELI
Nilichojifunza kwenye Corona Tanzaia viongozi wengi wa dini kubwa za Kikristo hawamwamini Mungu wanaamini sayansi na sio Mungu wanayemsingizia kuwa aliwaita wamtumikie.
Kuamini Mungu kuwa aweza Saidia vita dhidi ya Corona kumebaki Kwa waumini wa kawaida yaani walei wakiongozwa na mlei Rais Magufuli.
Viongozi wengi wakubwa wa dini za Kikristo wamemtelekeza Mungu kwa walei wao wametimkia kwa wanasayansi.
They believe in scientists not God. Hii kali ya mwaka! Role ya Mungu katika nchi na katika changamoto wameitupilia mbali na kuwaweka wanasayansi kuwa superior kuliko Mungu wakati mwanasayansi aliyebobea kwenye usomi wa sayansi Dk Magufuli anamtukuza Mungu wao waliokariri elimu wanayoita ya Mungu wanatukuza wanasayansi. NI UTAPELI