Nilichojifunza kwenye Corona Tanzania viongozi wengi wa dini kubwa za Kikristo hawamwamini Mungu, wanaamini sayansi

Nilichojifunza kwenye Corona Tanzania viongozi wengi wa dini kubwa za Kikristo hawamwamini Mungu, wanaamini sayansi

YEHODAYA

JF-Expert Member
Joined
Aug 9, 2015
Posts
36,902
Reaction score
52,001
Ukisikia utapeli kwenye dini njoo Tanzania.

Nilichojifunza kwenye Corona Tanzaia viongozi wengi wa dini kubwa za Kikristo hawamwamini Mungu wanaamini sayansi na sio Mungu wanayemsingizia kuwa aliwaita wamtumikie.

Kuamini Mungu kuwa aweza Saidia vita dhidi ya Corona kumebaki Kwa waumini wa kawaida yaani walei wakiongozwa na mlei Rais Magufuli.

Viongozi wengi wakubwa wa dini za Kikristo wamemtelekeza Mungu kwa walei wao wametimkia kwa wanasayansi.

They believe in scientists not God. Hii kali ya mwaka! Role ya Mungu katika nchi na katika changamoto wameitupilia mbali na kuwaweka wanasayansi kuwa superior kuliko Mungu wakati mwanasayansi aliyebobea kwenye usomi wa sayansi Dk Magufuli anamtukuza Mungu wao waliokariri elimu wanayoita ya Mungu wanatukuza wanasayansi. NI UTAPELI
 
Yawezekana wewe ni mnufaika muhimu kwa changamoto hizo,kwani sii kwa kutetea huko.
Wanufaika hizo dini kubwa wanawinda pesa za wafadhili wa chanjo ya Corona kwenye hospital zao wanataka wawaibie kupitia chanjo na pesa za misaada za kupambana na corona hewa

Wamepeleka write ups kwa wafadhili kutaka wapewe pesa nk kuwa ni za kupambana na corona kwa waumini wao kumbe hewa!!! Ni ufisadi mpya kanisani.Wanakuza ili ionekane tatizo kubwa wawakwapulie pesa wazungu

Mbona waislamu wako kimya? Kelele zote za corona corona zinatoka kwa wakristo tu!! Vibaka tu
 
Ukisikia utapeli kwenye dini njoo Tanzania

Nilichojifunza kwenye Corona Tanzaia viongozi wengi wa dini kubwa za Kikristo hawamwamini Mungu wanaamini sayansi na dio Mungu wanayemsingizia kuwa aliwaita wamtumikie!!!

Kuamini Mungu kuwa aweza Saidia vita dhidi ya Corona kumebaki Kwa waumini wa kawaida yaani walei wakiongozwa na mlei Raisi Magufuli

Viongozi wengi wakubwa wa dini za Kikristo wamemtelekeza Mungu kwa walei wao wametimkia kwa wanadayansi!!! They believe in scientists ot God!!!! Hii kali ya mwaka!!! Role ya Mungu katika nchi na katika changamoto wameitupilia mbali na kuwaweka wanasayansi kuwa superior kuliko Mungu wakati mwanasayansi aliyebobea kwenye usomi wa sayansi Dk Magufuli anamtukuza Mungu wao waliokariri walimu wanayoita ya Mungu wanatukuza wanasayansi! NI UTAAPELI
We ni mpumbavu kuna kitu unanufaika na hii corona sio bure
 
Dini - Imani
Sayansi - the intellectual and practical activity encompassing the systematic study of the structure and behaviour of the physical and natural world through observation and experiment.

Kuamini pekee katika sayansi hakutoshi unachokiamini kinaweza kisiwe scientific..., na usichokiamini through experiment and observation utake usitake ni factual....

Am Afraid the two don't mix Imani pekee is not science.., everyone is entitled to their belief, but not on what they call their scientific factual...

Nikisema naamini ule mti ndio Mungu / Muumba (am entitled to my belief and no one can say otherwise) BUT nikileta thesis kwamba mti sio kiumbe hai bali ni kinyago alichochonga babu yangu kwa kukipa pumzi (kama scientific fact) wanasayansi watakuwa na haki kunipeleka kwenye asylum....

Tuache mambo ya roho imani yabaki kuwa ya roho na imani (na mambo ya kitaalamu / kisayansi tuwaachie watu ambao wapo tayari ku-experiment and question).., After all ya Kaisari tumuachie Kaisari....
 
Ukisikia utapeli kwenye dini njoo Tanzania

Nilichojifunza kwenye Corona Tanzaia viongozi wengi wa dini kubwa za Kikristo hawamwamini Mungu wanaamini sayansi na dio Mungu wanayemsingizia kuwa aliwaita wamtumikie!!!

Kuamini Mungu kuwa aweza Saidia vita dhidi ya Corona kumebaki Kwa waumini wa kawaida yaani walei wakiongozwa na mlei Raisi Magufuli

Viongozi wengi wakubwa wa dini za Kikristo wamemtelekeza Mungu kwa walei wao wametimkia kwa wanadayansi!!! They believe in scientists ot God!!!! Hii kali ya mwaka!!! Role ya Mungu katika nchi na katika changamoto wameitupilia mbali na kuwaweka wanasayansi kuwa superior kuliko Mungu wakati mwanasayansi aliyebobea kwenye usomi wa sayansi Dk Magufuli anamtukuza Mungu wao waliokariri walimu wanayoita ya Mungu wanatukuza wanasayansi! NI UTAAPELI
Kwahiyo sayansi haikuletwa na Mungu ??

Je, kama Mungu anapaswa kufanya directly mwenyewe ni Kwanini haya matukio hayakuwa hivi.

1. Kwanini baada ya wana wa Israel kumuudhi Mungu na kuanza kugongwa na nyoka mfululizo, Mungu aliwapa nyoka wa shaba ili wakimwangalia wapone ?

Kwanini Mungu hakuwaua tu directly hao nyoka wabaya ?

2. Ni Kwanini Mungu badala ya kuwafanya waisrael wawe wameshiba tu muda wote, akawafanya wawe wanaomba Manna kila wakati wa kula na kuwapa sharti la kutoitunza. Na waliotunza asubuhi walikuta imeoza.

3. Kwanini Mungu aliwezesha fimbo ya Musa kuwa nyoka mwenye maajabu ya kumeza nyoka wengine badala ya kuwaua tu hao nyoka wa farao ?

4. Kwanini Yesu baada ya kuzaliwa alikuwa anatorosha usiku asiuawe wakati Mungu angeweza kuwafanya chochote wabaya wake.

5. Kwanini Yesu aliombea mikate 5 na samaki 8 ili watu wale na siyo kuketa tu chakula kutokea hewani ??

6. Ni Kwanini Yesu aliwaambia watu kwenye sherehe wajaze maji kwenye mtungi baadaye yakawa Divai wakati angeweza kubadili chungu tupu kikajaa divai ??

Ninyi mnaofurahia watu kuuawa kikatili hamwezi kujifanya mnamjua Mungu.

Yohana Mbatizaji alikamatwa kwa kumkemea Herode, mwishowe akakatwa kichwa.

Shadrack, Meshach na Abednego walikamatwa kwa kutotii maagizo ya watawala.

Yesu mwenyewe hakupendwa na watawala,

Haijawahi kutokea mcha Mungu kuwa upande wa watawala hata siku moja, ukiona hivyo hiyo dini hakuna kitu hapo.
 
Kwahiyo sayansi haikuketwa na Mungu ??

Je, kama Mungu anapaswa kufanya directly mwenyewe ni Kwanini haya matukio hayakuwa hivi.

1. Kwanini baada ya wana wa Israel kumuudhi Mungu na kuanza kugongwa na nyoka mfululizo, Mungu aliwapa nyoja wa shaba ili wakimwanfalia wapone ?

Kwanini Mungu hakuwaua tu directly hao nyoka wabaya ?

2. Ni Kwanini Mungu badala ya kuwafanya waisraek wawe wameshiba tu muda wote, akawafanya wawe wanaomba Manna kila wakati wa kula na kuwapa sharti la kutoitunza. Na waliotunza asubuhi walimuwa imeoza.

3. Kwanini Mungu aliwezesha fimbo ya Musa kuwa nyoka mwenye maajabu ya kumeza nyoka wengine badala ya kuwaua tu hao nyoka wa farao ?

4. Kwanini Yesu baada ya kuzaliwa alikuwa anatorosha usiku asiuawe wakati Mungu angeweza kuwanya chochote wabaya wake.

5. Kwanini Yesu aliombea mikate 5 na samaki 8 ili watu wale na siyo kuketa tu chakula kutokea hewani ??

6. Ni Kwanini Yesu aliwaambia watu kwenye sherehe wajaze maji kwenye mtu gi baadaye yakawa Divai wakati angeweza kubadili haki chungu tupu kikajaa divai ??
Tatizo kuna watu wanataka kutuaminisha kwamba lazima uchague kimoja kati ya sayansi au dini, kinachoendelea sasa ndio inaitwa kutembea pekupeku juu ya mbigili. Halafu huyo huyo mwenye imani kuliko hata maaskofu anatembea na jeshi lake lenye vifaa lukuki na silaha kali za moto mbona hakabidhi ulinzi kwa Muumba wake , au tunachagua?
 
Tatizo kuna watu wanataka kutuaminisha kwamba lazima uchague kimoja kati ya sayansi au dini, tunachagua?
Yeah aliaigiza hivyo ili viongozi wa dini wa concentrate kwenye Mungu Saidia ndio maana wanasoma sana theology yaani Elimu ya Mungu sio Sayansi!!! Ili wamwelezee na kuwa wasemaji wa Mungu sio Sayansi!!!
 
Lea hiyo Tanzania nchi yenye dini kubwa kibao viongozi wanaoona Corona ups sana ni Viongozi wa Katoliki tu ? Shituka
Imeandikwa usimjaribu Bwana Mungu wako. Hivi ukishauriwa na Wataalam kuwa usijenge nyumba mabondeni nawe ukakaidi eti Mungu ataikinga nyumba yako dhidi ya mafuriko. Hapo ndiyo kumjaribu Muumba wako.
 
Wanufaika hizo dini kubwa wanawinda pesa za wafadhili wa chanjo ya Corona kwenye hospital zao wanataka wawaibie kupitia chanjo na pesa za misaada za kupambana na corona hewa

Wamepeleka write ups kwa wafadhili kutaka wapewe pesa nk kuwa ni za kupambana na corona kwa waumini wao kumbe hewa!!! Ni ufisadi mpya kanisani.Wanakuza ili ionekane tatizo kubwa wawakwapulie pesa wazungu

Mbona waislamu wako kimya? Kelele zote za corona corona zinatoka kwa wakristo tu!! Vibaka tu
Kwa hiyo tatizo lenyewe huliamini na hata chanjo pia,Bila shaka waweza kuwa sii binadamu wakawaida,labda yule afurahiae shida za wengine,kama mchawi vile,ikiwa ndio mtazamo wako.
 
Saud Arabia ndiko alikozaliwa Muhammad na ndiko ulikotoka Uislamu tangu mwaka jana walisitisha mikusanyiko ya ibada za Hija na hawapokei watu toka mataifa mengine kwenda kuhuji kwani wanaogopa corona.

Sasa wewe tena unakuja na kusema viongozi wa kikristo hawamuamini Mungu kwa sababu ya kufuata taratibu za kujikinga na corona.

Wewe ni kilaza na wala hujui unalosema
 
Saud Arabia ndiko alikozaliwa Muhammad na ndiko ulikotoka Uislamu tangu mwaka jana walisitisha mikusanyiko ya ibada za Hija na hawapokei watu toka mataifa mengine kwenda kuhuji kwani wanaogopa corona.

Sasa wewe tena unakuja na kusema viongozi wa kikristo hawamuamini Mungu kwa sababu ya kufuata taratibu za kujikinga na corona.

Wewe ni kilaza na wala hujui unalosema
Maajabu haya jamaa ana vituko sana

Ova

Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
 
Saud Arabia ndiko alikozaliwa Muhammad na ndiko ulikotoka Uislamu tangu mwaka jana walisitisha mikusanyiko ya ibada za Hija na hawapokei watu toka mataifa mengine kwenda kuhuji kwani wanaogopa corona.

Sasa wewe tena unakuja na kusema viongozi wa kikristo hawamuamini Mungu kwa sababu ya kufuata taratibu za kujikinga na corona.

Wewe ni kilaza na wala hujui unalosema
Naongelea Tanzania sio Saudi Arabia
 
Imeandikwa usimjaribu Bwana Mungu wako. Hivi ukishauriwa na Wataalam kuwa usijenge nyumba mabondeni nawe ukakaidi eti Mungu ataikinga nyumba yako dhidi ya mafuriko. Hapo ndiyo kumjaribu Muumba wako.
Mtaalamu koko huyo

Mabondeni kunajengeka vizuri tu mbona kunatakiwa tu utaalamu kujengwaje ili maji yapite na binadamu waishi mfano unajenga nyumba juu ya nguzo au beams na maji yanapita chini huyo hana utaalamu wowote na hakuna cha kumjaribu Mungu hapo
 
Ukisikia utapeli kwenye dini njoo Tanzania.

Nilichojifunza kwenye Corona Tanzaia viongozi wengi wa dini kubwa za Kikristo hawamwamini Mungu wanaamini sayansi na sio Mungu wanayemsingizia kuwa aliwaita wamtumikie.

Kuamini Mungu kuwa aweza Saidia vita dhidi ya Corona kumebaki Kwa waumini wa kawaida yaani walei wakiongozwa na mlei Rais Magufuli.

Viongozi wengi wakubwa wa dini za Kikristo wamemtelekeza Mungu kwa walei wao wametimkia kwa wanasayansi.

They believe in scientists not God. Hii kali ya mwaka! Role ya Mungu katika nchi na katika changamoto wameitupilia mbali na kuwaweka wanasayansi kuwa superior kuliko Mungu wakati mwanasayansi aliyebobea kwenye usomi wa sayansi Dk Magufuli anamtukuza Mungu wao waliokariri walimu wanayoita ya Mungu wanatukuza wanasayansi. NI UTAPELI

Nchi wala serikali hazina dini. Chonde chonde kaeni na dini zenu wala hatu hoji hilo.

Ya dini pelekeni kwenye madhehebu zenu. Nchi na serikali ni kwa mujibu wa sheria. Hamuyawezi hayo, mko mahali sipo.
 
Ukisikia utapeli kwenye dini njoo Tanzania.

Nilichojifunza kwenye Corona Tanzaia viongozi wengi wa dini kubwa za Kikristo hawamwamini Mungu wanaamini sayansi na sio Mungu wanayemsingizia kuwa aliwaita wamtumikie.

Kuamini Mungu kuwa aweza Saidia vita dhidi ya Corona kumebaki Kwa waumini wa kawaida yaani walei wakiongozwa na mlei Rais Magufuli.

Viongozi wengi wakubwa wa dini za Kikristo wamemtelekeza Mungu kwa walei wao wametimkia kwa wanasayansi.

They believe in scientists not God. Hii kali ya mwaka! Role ya Mungu katika nchi na katika changamoto wameitupilia mbali na kuwaweka wanasayansi kuwa superior kuliko Mungu wakati mwanasayansi aliyebobea kwenye usomi wa sayansi Dk Magufuli anamtukuza Mungu wao waliokariri walimu wanayoita ya Mungu wanatukuza wanasayansi. NI UTAPELI
Ila misimamo ya rais ni kutokana na maombi ya hao wakristo maana kila mikusanyiko lazima amani na viongoz waombewe ili waongoz kwa hekima kama hivi anavyofany rais.
Japo ni kweli kuna baadhi hawana imani na Mungu wanae mtangaz ila pia wenye imani wapo na ndo wanao iombea Tz.
 
Nchi wala serikali hazina dini. Chonde chonde kaeni na dini zenu wala hatu hoji hilo.

Ya dini pelekeni kwenye madhehebu zenu. Nchi na serikali ni kwa mujibu wa sheria. Hamuyawezi hayo, mko mahali sipo.
Maaskofu ni wanasayansi?
 
Back
Top Bottom