Nilichojifunza kwenye kumtafuta mke JF

mie huwa simwambii mwanamke kama Nina Nazi nzuri Bali najiweka maisha duni ili nijue kweli nimependwa au blah blah
Nadhani ulimaanisha kazi na si Nazi.

Anyways kwann uingie kwenye mahusiano kwa kudanganya? We jieleze ulivyo utapendwa ulivyo.

Unadhani Eddy mwenye kazi nzuri na Eddy asiye na kazi nzuri ni mtu mmoja? Hao ni watu 2 tofauti na huyo anaekupenda lazima amjue ni Eddy Gani wewe.

By the way hata ukiwa na Mali au kazi nzuri kiasi Gani au kama Huna mwanzoni mwanamke hawezi kukupenda ghafla, lazima muwe wote ndio akupende
 
Kuna mwingine alikomalia nasikia unamiliki......IPO mkoa Fulani. Kila kitu nilikuwa napinga....mwenzie nilimwambia vitu nilivyonavyo mjue kulikuwa na mwanamke nyuma maana mm sinaga mambo ya kununua vitu....yule mdada hadi sasa nasikia yupo Njombe ni fundi wa kushona viwandani na hajaolewa. Wanapenda sana mtelemko...si watafute vyao

Mwngne kaniacha hoi mwaka Jana, akaniambia niuze vitu vyote nilivyonavyo ili tutumie vyake kwakuwa nayeye alikuwa na maisha...nikasafiri nikampigia simu kwamba nimeuza xyz, akaniambia nimrushie laki 3 ili nae ale kidogo...nikawaza sana kuwa yeye anawaza nini sana sana?...nimepiga kule sipendi jitu lijanja janja na lisanii!!!!...na wala hakijauzwa kitu....hahhaa
 
Mwandiko wako ka pdiddy asee
 
Mkuu kwa dunia yetu hii yaleo (digitali) hakuna mwanamke au msichana atakaekupenda kwa dhati au kuolewa kama mwanaume hana kitu..
Dunia ya Leo hata ukipeleka posa cha ajabu wazazi wa mke cha kwanza wanauliza huyu mwanaume anakazi gani..
Sio kama wazee wetu enzi zile wanaangalia Dini yako na tabia ya mwanaume na fmly yao..
So hata usipojieleza ukijieleza ni sawa unampigia mbuzi gitaa tu.
 
Kawaida tumeumbwa inside out..

Ishi kiuhalisia, jipende usipende kwasababu una shida..

I bet ukijipenda ukaishi ki uhalisia ukafikia hatua mazingira yanayokuzunguka ndiyo unaendana nayo utapata kila kitu one step at a time.
kidogo kidogoooo..

kuna muda ukijipenda kila unachotaka kinakuja mezani hapo chap chap..

mfano uishi kwa synchronisity ya hali ya juu utakutana na wanawake wazuri popote pale na wao watabamba na wewe maongezi kidogo wanakuamini na kukupa namba za simu same day.

ni juu yako tu kuanza kupanga muda wa kuwafahamu wao kiundani zaidi..

the world conspires with your needs & wants....

Just develop passion and desire...

kila la heri.
 
Catching a golddigger,sasa hapo ndo wanakuja
 
Hope research yako imekupa findings ulizotaka
 
Ha ha ha, umeona mbinu ya umaskini haibambi umeamua uje na toleo lingine!!!
Baada ya kutoa siri nje siwezi kupokea ombi lingine tena na wanajua hawawezi pm tena maana tulishindwana kwa hali nliyowaambia ninayo na ninavyoishi. Hata mtu aki pm sijibu imetoka hiyo
 
hivi manji anaweza kuja love connect kutafuta mpenzi kweli?
 
Sasa ulivyojitangazia mali zako lazima waje
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…