Nilichojifunza kwenye kumtafuta mke JF

mbona kakosa kitaani kwao ? wao hawapendi kuishi na kifaru? aseme na ni kwanini hajapata mke miaka 39 na mali zote alizonazo kama anazani kupata mke ni mali

Acha maswali mengi, fursa hiyo.
 
hiv mtaani kwako umekosa mwenye tabia njema hadi utafute mtandaoni
 
Baada ya kutoa siri nje siwezi kupokea ombi lingine tena na wanajua hawawezi pm tena maana tulishindwana kwa hali nliyowaambia ninayo na ninavyoishi. Hata mtu aki pm sijibu imetoka hiyo
Utabadili ID na uanze upya
 

Hebu waambie; nimeshangaa pia mtoa uzi mpaka nimetilia mashaka na Master zake 2
 
Kwani ukitafuta mchumba mke ni lazima useme una mali au huna?! Angalia mfano hapo chini:
Umri:39
Kazi:Banker/Nimejiajiri
ElimuπŸ˜€iploma,Degree,Masters,PhD
Makazi:Mwanza

Huna haja ya kuandika kiwango cha mshahara wako au mali ulizonazo, mwanamke akiongea na wewe tu atajua huyu ni mtu wa aina gani, anavutiwa na wewe au la!
 

Kama una PhD na mali huna bora ukae kimya tu ujitombe mwnyw
 
miss you
 
kama unadhani wanawake tunapenda vitu vyenu mbona huko mtaani kwenu hawajakutaka siku zote?
Hahahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa safiiiiiiiiiii waaambie hao mbona uko kitaaa hajapigwa mpaka aje kujitangaza hapa hahahaaaaaaaaaaaaaaaa uwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii wapewape hao bestito
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…