Auz
JF-Expert Member
- Apr 6, 2016
- 13,539
- 11,419
Peleka hoja Roma afanywe mtakatifu.Nilienda pale naona baadhi ya shida zangu zimeisha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Peleka hoja Roma afanywe mtakatifu.Nilienda pale naona baadhi ya shida zangu zimeisha
Mapema sana. Imepita hiiPeleka hoja Roma afanywe mtakatifu.
Kaburi lake , ni asset yenye thamani kubwa sana na inapaswa kulindwa kwà Nguvu zote. Na tena ikibidi...pale kwenye kaburi iwe kama MFANO tu...yeye atolewe pale na kuwekwa KUSIKOJULIKANA.Kwahiyo umegundua nini apo kaburini? Cjakuelewa! Alie elewa anisaidie!
Read between the linesKwahiyo umegundua nini apo kaburini? Cjakuelewa! Alie elewa anisaidie!
Asante kwa kumueleweshaKaburi lake , ni asset yenye thamani kubwa sana na inapaswa kulindwa kwà Nguvu zote. Na tena ikibidi...pale kwenye kaburi iwe kama MFANO tu...yeye atolewe pale na kuwekwa KUSIKOJULIKANA.
Duuh mzee muongo weweKwa kua upo kwenye Ardhi ya Tanzania....,kitendo cha wewe kuwaza tu kwenda huko, tayari CHATO wanakua wameishajua. Kwahiyo ukiona umeruhusiwa kuliona kaburi lake, ujue ni yeye ndiye karuhusu....na ukiona unapata figisufigisu ujue Spirit yako ilikutangulia huku ikiwa na bad intentions...hawatakuruhusu kuliona. Na hapo hutapaswa kuwa mkaidi wala kulalamika.
Note: Chato sio sehemu ya kwenda kutafutia KIKI
ThibitishaDuuh mzee muongo wewe
R.I.P JPM [emoji24]Muache mzee wa watu apumzike.
Karibu sanaAhsante kwa taarifa...
Usilolijua ni kama usiku wa kizaBure Kabisa.
Kwa kua upo kwenye Ardhi ya Tanzania....,kitendo cha wewe kuwaza tu kwenda huko, tayari CHATO wanakua wameishajua. Kwahiyo ukiona umeruhusiwa kuliona kaburi lake, ujue ni yeye ndiye karuhusu....na ukiona unapata figisufigisu ujue Spirit yako ilikutangulia huku ikiwa na bad intentions...hawatakuruhusu kuliona. Na hapo hutapaswa kuwa mkaidi wala kulalamika.
Note: Chato sio sehemu ya kwenda kutafutia KIKI