GUI1
JF-Expert Member
- Oct 4, 2017
- 4,007
- 5,290
Nimekuachia weweNaona Maneno YAKO ni kama yana mimba hivi, je unaweza kuyazalisha ili akuelewe vizuri?
#Intimacy #Connection #Chemistry #Bond (Invisible Image VS visible Image)
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimekuachia weweNaona Maneno YAKO ni kama yana mimba hivi, je unaweza kuyazalisha ili akuelewe vizuri?
#Intimacy #Connection #Chemistry #Bond (Invisible Image VS visible Image)
Mnafiki asidhubutu kwenda! Maana kitakachompata hatasahau!!!Chei chei.
Usiwasitue wana, 2025 wanaenda kuhiji hapo. Bila hivyo watapata tabu sana kupata kura.
Ataomba po!Mnafiki asidhubutu kwenda! Maana kitakachompata hatasahau!!!
Halfway!"He Is Not Here, He is risen" and He is living among us
Kakudanganya Nan binadamu lazima afe?Binadamu ni razima ufe ili utoe nafasi ya binadamu mwingine kuishi na ndio maana kila siku watu wana kufa na kuzaliwa.
Suala la kufa ni suala la razima na wala halina uhusiano wowote na huruma wala upendo.
Siku zako za kuishi hapa duniani ulizo pangiwa na mungu ziliisha ni razima ufe na wala hautaongezewa hata sekunde moja haijalishi ww ni mzuri kiasi gani na unategemewa na watu wangapi.
This is forbidden knowledge.Kakudanganya Nan binadamu lazima afe?
Kuna binadamu hawataonja mauti na wapo ambao hawajaonja mauti mfano Eliya,Henock
Kivipi Ndugu?Kichwa cha uzi kimekaa kimkakati
Kwann mkuuThis is forbidden knowledge.
Chakula kigumu (solid food) hakipaswi kamwe kuliwa sebuleni, kinaliwa chumbani...tena kwà sauti ndogo sana.Kwann mkuu
Miracles, Signs and WondersSasa umeona nn kaburin
Kama zipi weka bayanaMiracles, Signs and Wonders
Nilichokiona kilikua kimeandikwa katika lugha ambayo haipo katika Ulimwengu huu na wala lugha hiyo haijawahi kutamkwa na mtu yeyote.Kama zipi weka bayana
Inategemea umelitizama kwa upande upi..... Kwa Imani za kihebrania, kiafrika......Mungu anapo amuwa kukuondoa ulimwenguni ni kwamba umuhimu wako wako hapa duniani umekwisha haijalishi ulikuwa mwema au ulikuwa muovu.
Kwahiyo haijalishi Magufuri alikuwa mzuri kiasi gani kwa sasa hana umuhimu wowote hapa duniani acheni kutupigia kelele.
Ukikutana na Lazaro aliyekufa kisha akafufuliwa na Kristo Yesu, umuulize umuhimu wake ulikuwa nini hata afufuliwe!Mungu anapo amuwa kukuondoa ulimwenguni ni kwamba umuhimu wako wako hapa duniani umekwisha haijalishi ulikuwa mwema au ulikuwa muovu.
Kwahiyo haijalishi Magufuri alikuwa mzuri kiasi gani kwa sasa hana umuhimu wowote hapa duniani acheni kutupigia kelele.