MzeeKipusa
JF-Expert Member
- Feb 10, 2023
- 2,705
- 4,967
- Thread starter
- #41
Hayati Magufuli, alikuaHeading yako na content uliyo weka havishabihiani. Ene wei tunaomba picha ya kaburi na sisi tuangalie hiyo vitu ulivyogundua
1. AFISA USALAMA WA TAIFA
2. KIONGOZI WA TAIFA
NOTE. Maafisa Usalama na Viongozi wa Taifa huwa hawafi. Huwa ni kama ma sterring kwenye movie