BICHWA KOMWE -
JF-Expert Member
- Jul 21, 2022
- 6,373
- 16,073
Nitaenda kuhiji chato mwaka huu.
Nipate japo baraka zake mzee wangu Magufuli [emoji3578]
Nipate japo baraka zake mzee wangu Magufuli [emoji3578]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Rais wangu Magufuli, pumzika kwà Amani. Hakika kifo chako ni pigo na pengo kubwa sana katika Taifa letu na Bara letu.Tupo kwenye mambo ya Spirit tena? Siasa za mizimu?
Anyway apumzike kwa amani, na nyie mnaonufaika na kumtaja taja kila la heri kwa mnayopigania.
Mungu awasamehe kwakua hawajui walitendaloAchen kumsingizia Mungu ujinga wenu
Shetan amewapofusha mumuone Mungu ni muuaji na asiye na upendoKwahiyo magufuri alikufa kwa amri yako na sio Mungu.
Mungu akutunze na akutangulie katika safari yako.Nitaenda kuhiji chato mwaka huu.
Nipate japo baraka zake mzee wangu Magufuli [emoji3578]
Andiko linaua , lakini Neno huumpa mtu uzima.Shetan amewapofusha mumuone Mungu ni muuaji na asiye na upendo
Unaongea hivi sababu hamsom Maandiko vzr,
Hayajakukuta tu pale baba yako unayemtegemea kila kitu amefarik halafu unaambiwa Mungu ndiye kamchukua ,at the same time unaambiwa Mungu ana Upendo
Wachamawe!!Mpirawachasugu?.
Wachatata!!Wachamawe!!
Waongela maboksi?Wachatata!!
Binadamu ni razima ufe ili utoe nafasi ya binadamu mwingine kuishi na ndio maana kila siku watu wana kufa na kuzaliwa.Shetan amewapofusha mumuone Mungu ni muuaji na asiye na upendo
Unaongea hivi sababu hamsom Maandiko vzr,
Hayajakukuta tu pale baba yako unayemtegemea kila kitu amefarik halafu unaambiwa Mungu ndiye kamchukua ,at the same time unaambiwa Mungu ana Upendo
Si ungeomba wakuue na kukuzika pembeni yake ili uwe unawasiliana naye kuliko kutusumbua huku?Mngekuwa na akili mngeacha kupost thread za huyu ibilisi kwani mnavyojitahidi kuziba makosa yake kwa hoja za kitoto ndivyo wahanga wa utawala wake wanaendelea kumpopoaMagufuli
Mungu akusamehe Ndugu yangu. Hujui ulisemalo.Si ungeomba wakuue na kukuzika pembeni yake ili uwe unawasiliana naye kuliko kutusumbua huku?Mngekuwa na akili mngeacha kupost thread za huyu ibilisi kwani mnavyojitahidi kuziba makosa yake kwa hoja za kitoto ndivyo wahanga wa utawala wake wanaendelea kumpopoa
Sikumoja utamkumbukaSi ungeomba wakuue na kukuzika pembeni yake ili uwe unawasiliana naye kuliko kutusumbua huku?Mngekuwa na akili mngeacha kupost thread za huyu ibilisi kwani mnavyojitahidi kuziba makosa yake kwa hoja za kitoto ndivyo wahanga wa utawala wake wanaendelea kumpopoa