Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Imagine unafanya vibaya mara 27 na unachukua Ubingwa. Halafu Simba anafanya vizuri mara 49 lakini anakuwa Bingwa mara 22.Ninachoona hapa ni kwamba umeshajengeka mtazamo kuwa Simba anatakiwa afanye vizuri, akifanya vibaya kuna jambo la kuchunguzwa, lakini Yanga huwa hakuna kipya, maana tayari huwa anatazamiwa kufanya vibaya
CEO Barbara Gonzalenzi kwenye Space alisema Kanoute ni replacement ya Chama.Yaani huyu jamaa hizo comparisons zake zipo ant-clockwise kabisa nikadhani atamfananisha Kanoute na Mzamiru maana kwa game ya jana alikua na majukumu ya Mzamiru. Bora hata ungesema Bwalya hawezi kua replacement ya Chama sababu jana alikua na majukumu ya kama ya Chama.
Mkuu, tunazungumzia mechi za kimataifa, au unaturudisha tena kwenye Ligi ya Bara mliporudi? Kwani huko Nigeria mlienda kutafuta ubingwa wa 28 ? Au Simba amecheza kwa Mkapa na Mazembe kuutafuta ubingwa wa 23 ? Jaribuni kuhamisha mawazo kidogo yawe ya mbele. Simba siku hizi ubingwa ni tiketi ya kucheza CAF CLImagine unafanya vibaya mara 27 na unachukua Ubingwa. Halafu Simba anafanya vizuri mara 49 lakini anakuwa Bingwa mara 22.
kama ambavyo Moloko ni replacement ya TuisilaCEO Barbara Gonzalenzi kwenye Space alisema Kanoute ni replacement ya Chama.
The Return Of Champions ni kwenye Ligi & Sio kwenye CAFCL.Return of champions tunaomba na tathmini yako ya nigeria..
Utani pembeni.
Kwa mtu anayejua mpira kijana kanoute kwa mechi yake ya kwanza ya upinzani simba kaonyesha utulivu wa hali ya juu, hana papara, pasi za uhakika na ni pasi za mbele, mlinganishe na chama mechibyake ya kwanza kubwa akiwa simba pia jamaa ni box to box sio namba 10 kama chama...
Leo nilipata wasaa wa kushuhudia Tamasha la Vichekesho kutoka kwa watani zangu pale Taifa.
Maana ilikuwa sio Tamasha bali ni vibweko tosha, hata ilikuwa bado kidogo nisahau kuwa ninapaswa kutazama Mwanajangwani aliyepoteza uelekeo kule Port Harcout - Nigeria. Kiufupi kichekesho kimojawapo kilikuwa ni kuwaona Mascots 4 kiwanjani. Hahaha.
Anyways tuachane na hilo.
Matarajio ya walio wengi leo pale Taifa ni kuona kama Usajili Mpya umefanikiwa kuziba mapengo au lah. Mwisho wa mechi imefahamika kuwa licha ya kuwa TP Mazembe haiko kwenye ubora wake bado usajili mpya haukuweza kufaa vya kutosha hata kuleta ushindi kwenye siku ya tukio kubwa kama ile. (Kuna mtu alininong'oneza kuwa pengine ni ujio wa Mgeni rasmi ndio ulisababisha ushindi kwa TP Mazembe), lakini haikuwan kweli.
Usajili wa Simba ulifanywa kwa lengo la kubahatisha ili kuona kama inawezekana kuziba mapengo ya Chama & Miqquie.
1. Benard Morrison
Huyu dogo ameacha kucheza mpira uwanjani na sasa amekuwa anaucheza mpira mwingi sana nje ya uwanja kuliko ndani ya uwanja. Ila kwa umachachari wake bado atawaweka benchi wakina Migomba.
2. Kanoute
Kijana ana kiwango cha kawaida na wala sio cha kutisha. Hajamfikia Chama hata nusu. Uwezo wake unafanana na mdogo wangu wa Baraka Majogoro wa Polisi Tanzania. Hapa pengo la chama halijazibwa.
3. Kibu
Kijana alihitaji muda zaidi wa kufanya vyema kwingine. Ni aina ile ile ya washambuliaji wa kibongo (Kama Ditram Nchimbi) ambao wana nguuuvu nyingi ila akili hazijai kisoda mara walisogeleapo lango la mpinzani.
4. P.O Sakho
Ana uwezo mguuuni ila ata struggle sana kufikia uweko wa Miqqiesone kwa sababu mpira wake hauna tofauti na Benard Morrison/Konde boy aliyekuja Yanga kufanya majaribio. Huyu naye ni machachari na sio hatari.
5. Banda
Atasumbua kibongo bongo tu na sio kimataifa, na mara wakina nyoso wakianza kumtomasa tomasa miguuni ataanza kushinda muhimbili kama yule dogo wa Azam yaani Prince Dube. Huyu naye ni machachari na sio hatari.
6. Beki - Ibaka
Bonge moja la beki, hana makosa makosa ya kishamba kama wakina wana & onyango. Hata hivyo hatopata sana nafasi kutokana na chemistry iliyoko kati ya wawa & onyango.
Bado ninadiliki kusema kuwa mtani alikuwa na kikosi kizuri zaidi msimu uliopita kuliko msimu huu. Kama msimu uliopita na ubora wake wote aliambulia alama 1 just imagine this time around.
Ikumbukeni tarehe 25.
Na huo ndipo unapokosea sasa unashindwa kuangalia position ya mchezaji uwanjani unasikiliza maneno. Hata kama ni replacement ya Chama ila jana hakucheza katika position ya ChamaCEO Barbara Gonzalenzi kwenye Space alisema Kanoute ni replacement ya Chama.
Sasa nimsikilize CEO au unachokisema wewe?
chief executive officer (CEO) is the highest-ranking executive in a company, whose primary responsibilities include making major corporate decisions, managing the overall operations and resources of a company - Simba wont sign a player pasi na Barbara Gonzalenz kujua kiundani uhitaji wa aina hiyo ya mchezaji anayehitajika.Na huo ndipo unapokosea sasa unashindwa kuangalia position ya mchezaji uwanjani unasikiliza maneno. Hata kama ni replacement ya Chama ila jana hakucheza katika position ya Chama
49 kwa 51 acha ujinga wewe.Kucheza vizuri ndio nini wakati overall possession ilienda kwa TP Mazembe?
Tena kwa mfumo wa kikurya bila ganzi.Mumekeketwa huko Nigeria
TP wamekuja sebuleni kwenu wamewapiga kimoja cha ubakaji......Kuna watu ni takataka san kichwani afu unajifanya mchambuzi uchwara,konoute anacheza wapi na chama alikuwa anacheza wapi mpaka uwafananishe?kiungo mkabaji anakuja kuziba pengo la kiungo mchezeshaji?jipige kifuani jiambie mie takataka pro max
Nasema hivi mumekeketwa huko NigeriaSasa Juma Dede mbona P.O.V.U jingi ?
Muulize msukule wenuKwani vumbi la Kongo limefanya nini Kwa Mkapa pale?
TP wamekuja sebuleni kwenu wamewapiga kimoja cha ubakaji......
mazembe mtu mbadi
Hilo analijua antoni nugazMsukule ametokea Klabu Gani.?
Comment yako umetoa based on Yesterday's game. Na kutokana na game ya jana huyo Kanoute hakucheza kama CEO alivyokuambia atafanya replacement ya Chama. Kama uliangalia game Bwalya ndio alikua positioned sehemu ya Chama and Kanoute alikua anacheza sehemu anayocheza Mzamiru.chief executive officer (CEO) is the highest-ranking executive in a company, whose primary responsibilities include making major corporate decisions, managing the overall operations and resources of a company - Simba wont sign a player pasi na Barbara Gonzalenz kujua kiundani uhitaji wa aina hiyo ya mchezaji anayehitajika.