Nilichokikuta kwa Mchepuko wangu jana, wanaume tuwe makini

Mmh atar ilishawahi kunikuta hii na nkapiga simu hivyohivyo kama ulivyofanya lkn mmh wanawake wamezidi bhn na mimi hakuwa mchepuko alikuwa dem wangu kabisa najitoa kwake lkn nlikuja kushtukia dili
 
Huu ni kama mwaka wa kumi sijawahi kushika simu ya mke wangu..na mpango huo sina
 
Yeye hajaolewa wewe umeoa uoni kama unamnyima haki yake ya msingi
 
Asante kwa kutoa ushauri Mzuri.Sawa mkuu,rudi tena baada ya miezi mitatu ukacheck afya yako.Kabla ya kukutana na mama watoto wako
 
Mshahara wa dhambi ni mauti, baki njia kuu.
 
Michango yenu inazidi nipa elimu bila kujali imekuja kwa lugha gani, yes nnakubaliana na nyie na haswa aliekemea uzinzi hapo juu, kwakweli tumuombe Mungu atuepushe na hii mitihani
 
Kabisa mkuu kwa hiyo chain hapo filiria mmoja anao ndio tunaukwaa wote yaani, ni hatari sana, ila tofauti na wengine ambao huwa wanaletaga hizi nyuzi kama kujitamba, mi nimeona niulete kama Somo kwa wenye akili ili wafaidike kupitia makosa yangu, kusoma ni kusoma tu iwe kwa kupitia makosa ya mwenzio au kinyume chake
Kweli ukimwi upo aisee
 
Moyo umeniuma sana yaan
 
Wala sio Njombe ila uzuri (ulio ndani ya huu ubaya) ni kwamba wahuni lwenye hii chain ni waoga maana wanapima sana, ila pia dem ni pimapima and she is Ok japo sio kigezo kabisa cha kufanya ushenzi
ukute ni njombe. kwisha habar yake. kule kuna virus had vinatoa rushwa kwenye vipimio!
 
Yani mzee umechepuka lakin umemkomalia demu wa watu ka mkeo..dah..mbaya zaid ukaanza wapigia wahuni wake na kumchafulia..umefeli sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…