Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Mi na vyapombe wapi na wap jiran, ulimuona lini ntakuwa navusha night kaliMfyuuuu!! Si yule chapombe andunje 🤣🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mi na vyapombe wapi na wap jiran, ulimuona lini ntakuwa navusha night kaliMfyuuuu!! Si yule chapombe andunje 🤣🤣🤣
True, hizo limitation zilinikera nikarudi Android piaI4n ina limitations za kiwakiii, siweziii mie.
Hiyo ni uongoooooTrue, hizo limitation zilinikera nikarudi Android pia
Ulivusha siku ile nilimuona yuko bwii, ulimbebea skonko na mpochi wake huku mwenyewe kabeba chupa lake la safari lager 🤣🤣🤣Mi na vyapombe wapi na wap jiran, ulimuona lini ntakuwa navusha night kali
Awezi mimi wa humu na wa mtaani ni watu 7 tofauti
🤣🤣🤣🤣 we mangi nitake radhi me mbibi niko menopause afu mjaneAfu ukute huyu ni mkeo basi tu ID za jF changamoto kujua huyu nani 😅
Mfyuuuu!! Afu unajikuta unapigwa mizinga ya pesa mara mbili Jf na home 🤣🤣🤣Inawezekana mkuu ni vile huku fake id n haki yake 😂
Na yeye kanikalia kooni asiponitaja humu bado anahisi hayuko jf 🤣🤣🤣😅😅😂Unaanza upya kumpanga mkeo Dah ukija kugundua itauma sana. Hivi si anaweza kugundua mbona hizi pigo kama za Half american
Ni wewe acha urongo 🤣🤣🤣Awezi mimi wa humu na wa mtaani ni watu 7 tofauti
Jichanganye 😂Ni wewe acha urongo 🤣🤣🤣
😂 jf sipigiki tena nshajifunzaMfyuuuu!! Afu unajikuta unapigwa mizinga ya pesa mara mbili Jf na home 🤣🤣🤣
Utajua hujui
😂 kibwana eeh?Na yeye kanikalia kooni asiponitaja humu bado anahisi hayuko jf 🤣🤣🤣
Atakuwa kile kibwana changu cha Tabata bima huyu Half
😂 mimi tu ndio sina gariAu wa jf ni tajiri sana maana huku hata akina mshamba_hachekwi wana magari ila wapo chuo. Huku kila mtu ana gari yake alafu new model
Yaani nimekuwa disappointed sana na hii simu,
Ina complications na ina lack features ambazo ni za kawaida sana kwenye android.
1. Number row on keyboard hamna.
2. Text massage app yao huwezi ku schedule message
3. Nikitaka kujua running apps yaani hadi ni click katika specific area very trickly na huwezi kuzi clear kwa pamoja.
In short apple complicates everything.
Dogo umepotea...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sure niliiacha I4n kisa kuna chimbo 3 zilikataa ku install, nkaona niachane nayo tyuuh.
Siku I4n wakitoa limitations zao za kiwakii, mbna mapemaa tyuuh naishi nayo.
Nikisikia watu wanasema Iphone ni ngumu kutumia huwa nashangaa kweli kweli. Mbona ni rahisi kuliko eg Samsung zenye android? Mimi simu za android zimekaa kushoto sana.. halafu unnecessary wameweka vitu vingi visivyo na faida sana...[emoji1787][emoji1787][emoji1787] iphone inaududu mwingi sana sema wewe ni wa kitambo umechakaa mzeee ....Very easy to use iphone but very complex kwa watu wenye utoto mwingi maana inaitaji akili tulivu kufanya utoto kwenye iphone Over !!
Am out [emoji1787][emoji1787]
Dyadyaa kwann usemee nimeolekaa?Dogo umepotea...
Kwani umeoleka?
Next level kwa kitu gani mkuu?.Labda kwa manamba ya uongo uongo ila kwenye reality performances iphone ni moto wa kuotea mbali kaka sio iphone tu apple device ni next level chief
Yani hadi kutumia simu utumie akili[emoji1787][emoji1787][emoji1787] iphone inaududu mwingi sana sema wewe ni wa kitambo umechakaa mzeee ....Very easy to use iphone but very complex kwa watu wenye utoto mwingi maana inaitaji akili tulivu kufanya utoto kwenye iphone Over !!
Am out [emoji1787][emoji1787]
Na mimi sina Aisee viatu vyenyewe vimeisha upande na bado nakomaa navyo😂 mimi tu ndio sina gari