Idrisa1510
JF-Expert Member
- Oct 2, 2018
- 254
- 351
Kama heading hapo juu inavojieleza, nina mpenzi wangu na nimwaka watatu sasa tangu tulipoanzisha mahusiano.
Yeye anasoma chuo cha Kati Mbeya diploma ya ualimu mwaka wa pili na Mimi Niko hapa UDOM mwaka wapili bachelor of science with Education.
Walikua na rikizo ya mwezi hivi mmoja ambayo iliitumia Kwa kwenda kwao kama slivonieleza Mimi.
Kufuatia kwamba ni siku nyingi tulikua hatujaonana, nilimuomba atakapotoka kwao Tanga kurejea chuoni Mbeya baada ya kua rikizo imeisha apite Dodoma walau tuonane.
Jumamosi hii ilopita ndio alikua anarejea chuoni akawa amepita hapa Dodoma na tuka spend siku tatu pamoja mpaka jumatatu.
Lakin wakati tukiwa pamoja, nili download hacking app ya spycheckup Nika install na kukamilisha settings zote Kwa ajili ya kuanza kpekua texts zake za kwenye SMS, WhatsApp na call history zake.
Wakati Niko nae hakukua na dalili mbaya kwenye simu yake kiasi kwamba nikamuona ni innocent.
Lakin baada ya Tu kuachana na yeye kuelekea chuoni kwao ndio niaanza kushuhudia madudu.
Huyu msichana kumbe kabla ya kuja kwangu alikua Kwa njemba moja huko morogoro na alikaa yapata wiki nzima Kwa jamaa Hilo.
Hili nimelijua baada ya kubaki nampekua kupitia ile hacking app niloitega kwenye simu yake.
Yani nilikua nasoma chatting zake za WhatsApp na SMS, jamaa linamsifia kwamba anaweza kazi na linasema wiki moja alokaa nalo ilikua ndogo Kwa jinc alivokipa mambo adimu.
Kinachoniuma ni jinsi mavompenda huyu binti na tuliko toka ukijumlisha na malengo tulowekeana. Pia nime spend some amounts of money katika kipind chote za mahusiano kwa kujua ndio mke mtarajiwa kitu ambacho kinaniuma Sana mpaka sasa.
Sijamwambia chochote mpaka sasa maana inashauriwa kutofanya maaumuzi wakati WA hasira, but nazid kuumia kila naposoma chatting zake hiku maana ukiachana na Hilo njema la morogoro kuna jamaa mwingne nazani niwa hapohapo chuoni kwao ananilia tunda langu.
Guyz, actually nimekosa cha kuamua. Either nimpige chini nisonge mbele au nimkosoe Kwa anayoyafanya then niendelee nae coz ningali nampenda Sana.
In addition,. Nataka after three weeks nikapime HIV/AIDs maana nilienda peku Kwa binti huyu nilipokua sijui kama katoka Kwa mshkaji mwingine isije ikawa kaniachia na matadhi.
Yeye anasoma chuo cha Kati Mbeya diploma ya ualimu mwaka wa pili na Mimi Niko hapa UDOM mwaka wapili bachelor of science with Education.
Walikua na rikizo ya mwezi hivi mmoja ambayo iliitumia Kwa kwenda kwao kama slivonieleza Mimi.
Kufuatia kwamba ni siku nyingi tulikua hatujaonana, nilimuomba atakapotoka kwao Tanga kurejea chuoni Mbeya baada ya kua rikizo imeisha apite Dodoma walau tuonane.
Jumamosi hii ilopita ndio alikua anarejea chuoni akawa amepita hapa Dodoma na tuka spend siku tatu pamoja mpaka jumatatu.
Lakin wakati tukiwa pamoja, nili download hacking app ya spycheckup Nika install na kukamilisha settings zote Kwa ajili ya kuanza kpekua texts zake za kwenye SMS, WhatsApp na call history zake.
Wakati Niko nae hakukua na dalili mbaya kwenye simu yake kiasi kwamba nikamuona ni innocent.
Lakin baada ya Tu kuachana na yeye kuelekea chuoni kwao ndio niaanza kushuhudia madudu.
Huyu msichana kumbe kabla ya kuja kwangu alikua Kwa njemba moja huko morogoro na alikaa yapata wiki nzima Kwa jamaa Hilo.
Hili nimelijua baada ya kubaki nampekua kupitia ile hacking app niloitega kwenye simu yake.
Yani nilikua nasoma chatting zake za WhatsApp na SMS, jamaa linamsifia kwamba anaweza kazi na linasema wiki moja alokaa nalo ilikua ndogo Kwa jinc alivokipa mambo adimu.
Kinachoniuma ni jinsi mavompenda huyu binti na tuliko toka ukijumlisha na malengo tulowekeana. Pia nime spend some amounts of money katika kipind chote za mahusiano kwa kujua ndio mke mtarajiwa kitu ambacho kinaniuma Sana mpaka sasa.
Sijamwambia chochote mpaka sasa maana inashauriwa kutofanya maaumuzi wakati WA hasira, but nazid kuumia kila naposoma chatting zake hiku maana ukiachana na Hilo njema la morogoro kuna jamaa mwingne nazani niwa hapohapo chuoni kwao ananilia tunda langu.
Guyz, actually nimekosa cha kuamua. Either nimpige chini nisonge mbele au nimkosoe Kwa anayoyafanya then niendelee nae coz ningali nampenda Sana.
In addition,. Nataka after three weeks nikapime HIV/AIDs maana nilienda peku Kwa binti huyu nilipokua sijui kama katoka Kwa mshkaji mwingine isije ikawa kaniachia na matadhi.