Nilichokikuta kwenye simu ya mpenzi wangu nimebaki njia panda, niendelee naye au nimuache?

Nilichokikuta kwenye simu ya mpenzi wangu nimebaki njia panda, niendelee naye au nimuache?

Yaani nitoe ushauri kwa mtu aliyejiridhisha pasi na shaka kuwa anatombewa huyo demu wake?

Yaani umeona nyoka mwenye sumu chumbani kwako halafu unaanza kuuliza majirani umuue au la?

Wewe na mleta mada ni aina moja!

Sent using Jamii Forums mobile app
Na wewe nae ni mtu sasa unaetegemewa na wanafamilia wanapopata matizo huwa wanaambizana "nendeni kwa flan either atawapa mawazo ya kuwajenga" kwakweli koo zingine zinahasara.
Btw tusilumbane we baki na ujuaji wako wenye busara nzuri watakuja watoe ushauri wa busara


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha uongo huwezi kudukua msg za Whatsapp tunga story nyingine.
Tatizo wabongo wengi siku hizi wamejikuta wanajua kila kitu. Mtu anaspy messages za mpenzi wake nae anajiita mdukuaji [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Tatizo unakumbatia ujinga ulio wazi! haya endelea kaka mkubwa.
Na wewe nae ni mtu sasa unaetegemewa na wanafamilia wanapopata matizo huwa wanaambizana "nendeni kwa flan either atawapa mawazo ya kuwajenga" kwakweli koo zingine zinahasara.
Btw tusilumbane we baki na ujuaji wako wenye busara nzuri watakuja watoe ushauri wa busara


Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama heading hapo juu inavojieleza, nina mpenzi wangu na nimwaka watatu sasa tangu tulipoanzisha mahusiano.

Yeye anasoma chuo cha Kati Mbeya diploma ya ualimu mwaka wa pili na Mimi Niko hapa UDOM mwaka wapili bachelor of science with Education.

Walikua na rikizo ya mwezi hivi mmoja ambayo iliitumia Kwa kwenda kwao kama slivonieleza Mimi.

Kufuatia kwamba ni siku nyingi tulikua hatujaonana, nilimuomba atakapotoka kwao Tanga kurejea chuoni Mbeya baada ya kua rikizo imeisha apite Dodoma walau tuonane.

Jumamosi hii ilopita ndio alikua anarejea chuoni akawa amepita hapa Dodoma na tuka spend siku tatu pamoja mpaka jumatatu.

Lakin wakati tukiwa pamoja, nili download hacking app ya spycheckup Nika install na kukamilisha settings zote Kwa ajili ya kuanza kpekua texts zake za kwenye SMS, WhatsApp na call history zake.

Wakati Niko nae hakukua na dalili mbaya kwenye simu yake kiasi kwamba nikamuona ni innocent.
Lakin baada ya Tu kuachana na yeye kuelekea chuoni kwao ndio niaanza kushuhudia madudu.


Huyu msichana kumbe kabla ya kuja kwangu alikua Kwa njemba moja huko morogoro na alikaa yapata wiki nzima Kwa jamaa Hilo.

Hili nimelijua baada ya kubaki nampekua kupitia ile hacking app niloitega kwenye simu yake.

Yani nilikua nasoma chatting zake za WhatsApp na SMS, jamaa linamsifia kwamba anaweza kazi na linasema wiki moja alokaa nalo ilikua ndogo Kwa jinc alivokipa mambo adimu.

Kinachoniuma ni jinsi mavompenda huyu binti na tuliko toka ukijumlisha na malengo tulowekeana. Pia nime spend some amounts of money katika kipind chote za mahusiano kwa kujua ndio mke mtarajiwa kitu ambacho kinaniuma Sana mpaka sasa.



Sijamwambia chochote mpaka sasa maana inashauriwa kutofanya maaumuzi wakati WA hasira, but nazid kuumia kila naposoma chatting zake hiku maana ukiachana na Hilo njema la morogoro kuna jamaa mwingne nazani niwa hapohapo chuoni kwao ananilia tunda langu.


Guyz, actually nimekosa cha kuamua. Either nimpige chini nisonge mbele au nimkosoe Kwa anayoyafanya then niendelee nae coz ningali nampenda Sana.


In addition,. Nataka after three weeks nikapime HIV/AIDs maana nilienda peku Kwa binti huyu nilipokua sijui kama katoka Kwa mshkaji mwingine isije ikawa kaniachia na matadhi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Piga chini mkuu.
Ukitaka kumwua nyani usimwangalie usoni.Yaani uhuni wote huo bado una option ya kuendelea naye?
 
Kama heading hapo juu inavojieleza, nina mpenzi wangu na nimwaka watatu sasa tangu tulipoanzisha mahusiano.

Yeye anasoma chuo cha Kati Mbeya diploma ya ualimu mwaka wa pili na Mimi Niko hapa UDOM mwaka wapili bachelor of science with Education.

Walikua na rikizo ya mwezi hivi mmoja ambayo iliitumia Kwa kwenda kwao kama slivonieleza Mimi.

Kufuatia kwamba ni siku nyingi tulikua hatujaonana, nilimuomba atakapotoka kwao Tanga kurejea chuoni Mbeya baada ya kua rikizo imeisha apite Dodoma walau tuonane.

Jumamosi hii ilopita ndio alikua anarejea chuoni akawa amepita hapa Dodoma na tuka spend siku tatu pamoja mpaka jumatatu.

Lakin wakati tukiwa pamoja, nili download hacking app ya spycheckup Nika install na kukamilisha settings zote Kwa ajili ya kuanza kpekua texts zake za kwenye SMS, WhatsApp na call history zake.

Wakati Niko nae hakukua na dalili mbaya kwenye simu yake kiasi kwamba nikamuona ni innocent.
Lakin baada ya Tu kuachana na yeye kuelekea chuoni kwao ndio niaanza kushuhudia madudu.


Huyu msichana kumbe kabla ya kuja kwangu alikua Kwa njemba moja huko morogoro na alikaa yapata wiki nzima Kwa jamaa Hilo.

Hili nimelijua baada ya kubaki nampekua kupitia ile hacking app niloitega kwenye simu yake.

Yani nilikua nasoma chatting zake za WhatsApp na SMS, jamaa linamsifia kwamba anaweza kazi na linasema wiki moja alokaa nalo ilikua ndogo Kwa jinc alivokipa mambo adimu.

Kinachoniuma ni jinsi mavompenda huyu binti na tuliko toka ukijumlisha na malengo tulowekeana. Pia nime spend some amounts of money katika kipind chote za mahusiano kwa kujua ndio mke mtarajiwa kitu ambacho kinaniuma Sana mpaka sasa.



Sijamwambia chochote mpaka sasa maana inashauriwa kutofanya maaumuzi wakati WA hasira, but nazid kuumia kila naposoma chatting zake hiku maana ukiachana na Hilo njema la morogoro kuna jamaa mwingne nazani niwa hapohapo chuoni kwao ananilia tunda langu.


Guyz, actually nimekosa cha kuamua. Either nimpige chini nisonge mbele au nimkosoe Kwa anayoyafanya then niendelee nae coz ningali nampenda Sana.


In addition,. Nataka after three weeks nikapime HIV/AIDs maana nilienda peku Kwa binti huyu nilipokua sijui kama katoka Kwa mshkaji mwingine isije ikawa kaniachia na matadhi.

Sent using Jamii Forums mobile app
inasikitisha sana wadogo zetu wa kiume kizazi kipya kushindwa kuchukua maamuzi magumu. simple unaachana naye kwanini ujitese kwa umalaya wake. just unamwambia its over nahitaji kuwa alone nipange maisha yangu
 
Katika mistake wengi wetu tunayofanya katika mahusiano tuliyonayo ni kumchunguza tulie naye

Binafsi sijawahi kuwa mtu wa kumfatilia niliye naye kwasababu najua moyo wangu ulivyo na ukweli mchungu wa kujitakia sitoweza kuu-handle

Mi naamini mwanamke anayekupenda kwa dhati hawezi kukusaliti..hadi inatokea mwanamke anaenda kulala week nzima kwa jamaa mwingine ni ishara kubwa sana kwamba sio sahihi kwako

Fanya maamuzi
Hapa umefunga mjadala.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tatizo wabongo wengi siku hizi wamejikuta wanajua kila kitu. Mtu anaspy messages za mpenzi wake nae anajiita mdukuaji [emoji23][emoji23][emoji23]

Kabisa mkuu. Watu hawajui tofauti ya kuchungulia msg kwenye simu ya mtu na kudukua sasa kila mtu ni mdukuaji
 
Mzee baba as long as binti ulimkuta sio bikira maana yake alishakuwa na aliokuwa nao awali...

Suala la wewe kuanza kuhaha kutaka kupima HIV ukidhani ni kwa sababu tu ya njemba wa Moro ni kutaka kujikondesha bure otherwise kama hiyo ilikuwa ni mara yako ya kwanza kulala naye...

Halafu unajua kama wewe ndio kidumu na mmoja wa hao uliowataja ndio mwenye umiliki haswa?

In addition,. Nataka after three weeks nikapime HIV/AIDs maana nilienda peku Kwa binti huyu nilipokua sijui kama katoka Kwa mshkaji mwingine isije ikawa kaniachia na matadhi.
 
Kwanza umetumia vigezo gani kusema ni girlfriend wako, maana anaonekana sio wako kabisa lakini wewe hutaki kukubali hilo.
Angekua ni wako asingekaa wiki nzima kwa jamaa mwingine na asingekua na mtu mwingine chuoni. Mwambie kisha mpige chini, kama huwezi endelea kuvumilia hali.
 
Don't mess up with my dick, if u need it I'm ready to **** ur unus.

Sent using Jamii Forums mobile app
Sio "mess up with" ni mess with
Na sio "unus"ni anus😅😅😅😅

Naona nakuongezea hasira tu mkuu. Pole sana ila hawa wanawake wa sikuhizi ni kwenda nao kwa akili sana. Pole kijana

Ushauri wangu PIGA CHINI HAKUFAI
 
Write your reply...ukimchunguza,kuku sana huwezi kula nyama yake...kama una,malengo nae tafadhali uninstall hyo applications ila kama huna muache kimya kimya utakuja,kufa bure kwa MTU ambae sio ndugu yako...lakn najiuliza kimya kimy....iv we hapo ulipo hauli papuchi ya wanachuo wenzio...
 
Back
Top Bottom