Nilichokikuta kwenye simu ya mpenzi wangu nimebaki njia panda, niendelee naye au nimuache?

Nilichokikuta kwenye simu ya mpenzi wangu nimebaki njia panda, niendelee naye au nimuache?

Kukosoa uandishi wako mbovu ndiyo kukutolea povu? we kijana unaonekana jeuri usiye na haiba ya kujifunza,

Yaani mimi nije kusoma chuo? tulishapita huko kitambo kipindi kile mwanachuo ni mwanachuo haswa! siyo sasa hata kujieleza hujui na huna tofauti na mhitimu wa darasa la saba.
It's better Ku skip post kuliko kutolea mapovu yasio na maana kwangu. Ndio nina uandishi mbovu, now what? Njoo usome wewe badala yangu

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa huu uandishi wako, nachelea kusema wewe ni kilaza wa kutupwa, Kiswahili lugha yako ya taifa unashindwa kuimudu halafu unajiita mwanachuo?

Inaumiza sana kuona Taifa linalotambulika kama chimbuko la lugha ya kiswahili wasomi wake hawajui hata uandishi sahihi wa maneno na sentensi zake.

Sent using Jamii Forums mobile app
Toa ushauri acha kujifanya wewe ndo unajua kiswahili mno kwanza unajua chimbuko la kiswahili wewe?
BTW mtoa Uzi kwanza pole sana. Wadada wengi wa chuo ndivyo walivyo,
Kikubwa umeshamwelewa madudu yàke we mwache tu aendelee kukuonyesha upendo fake ila hapo na wewe anza kujipanga either kutafta replacement ili siku mkija kubwagana usichukue uamzi utakao kucost maishan mwako.
Wewe siyo wa kwanza kusalitiwa.
We songa nae taratibu itafika stage unamwacha mazima kama utaona bado anaendelea na upuuzi wake.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kukosoa uandishi wako mbovu ndiyo kukutolea povu? we kijana unaonekana jeuri usiye na haiba ya kujifunza,

Yaani mimi nije kusoma chuo? tulishapita huko kitambo kipindi kile mwanachuo ni mwanachuo haswa! siyo sasa hata kujieleza hujui na huna tofauti na mhitimu wa darasa la saba.

Sent using Jamii Forums mobile app
Yan nijifunze kupitia kejeli na dharau zako,.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Toa ushauri acha kujifanya wewe ndo unajua kiswahili mno kwanza unajua chimbuko la kiswahili wewe?
BTW mtoa Uzi kwanza pole sana. Wadada wengi wa chuo ndivyo walivyo,
Kikubwa umeshamwelewa madudu yàke we mwache tu aendelee kukuonyesha upendo fake ila hapo na wewe anza kujipanga either kutafta replacement ili siku mkija kubwagana usichukue uamzi utakao kucost maishan mwako.
Wewe siyo wa kwanza kusalitiwa.
We songa nae taratibu itafika stage unamwacha mazima kama utaona bado anaendelea na upuuzi wake.


Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani nitoe ushauri kwa mtu aliyejiridhisha pasi na shaka kuwa anatombewa huyo demu wake?

Yaani umeona nyoka mwenye sumu chumbani kwako halafu unaanza kuuliza majirani umuue au la?

Wewe na mleta mada ni aina moja!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Binadamu bhana sasa we ulidukua ili iweje [emoji23][emoji23], aya majibu umepata toa marks mwenyewe Mzee baba. Ushauri : Nyie watatu kama we ushajiona ni boya kuliko wote bora upite hv au uendelee kupiga ufe na ngoma

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom