Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu eti NAE mdukuzi?Kijana anadai yupo chuo lkn anaandika km yupo la kwanza.
"Rikizo" ndo kitu gani?.
Sent using Jamii Forums mobile app
Amekuachia Matadhi!! Ww ni kilaza wa darasani kama upo chuo na utahitimu kwa GPA 35, viwanda tutavisikia kwa majirani kama vyuo ndio hiviKama heading hapo juu inavojieleza, nina mpenzi wangu na nimwaka watatu sasa tangu tulipoanzisha mahusiano.
Yeye anasoma chuo cha Kati Mbeya diploma ya ualimu mwaka wa pili na Mimi Niko hapa UDOM mwaka wapili bachelor of science with Education.
Walikua na rikizo ya mwezi hivi mmoja ambayo iliitumia Kwa kwenda kwao kama slivonieleza Mimi.
Kufuatia kwamba ni siku nyingi tulikua hatujaonana, nilimuomba atakapotoka kwao Tanga kurejea chuoni Mbeya baada ya kua rikizo imeisha apite Dodoma walau tuonane.
Jumamosi hii ilopita ndio alikua anarejea chuoni akawa amepita hapa Dodoma na tuka spend siku tatu pamoja mpaka jumatatu.
Lakin wakati tukiwa pamoja, nili download hacking app ya spycheckup Nika install na kukamilisha settings zote Kwa ajili ya kuanza kpekua texts zake za kwenye SMS, WhatsApp na call history zake.
Wakati Niko nae hakukua na dalili mbaya kwenye simu yake kiasi kwamba nikamuona ni innocent.
Lakin baada ya Tu kuachana na yeye kuelekea chuoni kwao ndio niaanza kushuhudia madudu.
Huyu msichana kumbe kabla ya kuja kwangu alikua Kwa njemba moja huko morogoro na alikaa yapata wiki nzima Kwa jamaa Hilo.
Hili nimelijua baada ya kubaki nampekua kupitia ile hacking app niloitega kwenye simu yake.
Yani nilikua nasoma chatting zake za WhatsApp na SMS, jamaa linamsifia kwamba anaweza kazi na linasema wiki moja alokaa nalo ilikua ndogo Kwa jinc alivokipa mambo adimu.
Kinachoniuma ni jinsi mavompenda huyu binti na tuliko toka ukijumlisha na malengo tulowekeana. Pia nime spend some amounts of money katika kipind chote za mahusiano kwa kujua ndio mke mtarajiwa kitu ambacho kinaniuma Sana mpaka sasa.
Sijamwambia chochote mpaka sasa maana inashauriwa kutofanya maaumuzi wakati WA hasira, but nazid kuumia kila naposoma chatting zake hiku maana ukiachana na Hilo njema la morogoro kuna jamaa mwingne nazani niwa hapohapo chuoni kwao ananilia tunda langu.
Guyz, actually nimekosa cha kuamua. Either nimpige chini nisonge mbele au nimkosoe Kwa anayoyafanya then niendelee nae coz ningali nampenda Sana.
In addition,. Nataka after three weeks nikapime HIV/AIDs maana nilienda peku Kwa binti huyu nilipokua sijui kama katoka Kwa mshkaji mwingine isije ikawa kaniachia na matadhi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio "mess up with" ni mess with
Na sio "unus"ni anus[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Naona nakuongezea hasira tu mkuu. Pole sana ila hawa wanawake wa sikuhizi ni kwenda nao kwa akili sana. Pole kijana
Ushauri wangu PIGA CHINI HAKUFAI
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kijana hana awezalo, mapenzi hawezi na masomo hayawezi!
Sent using Jamii Forums mobile app
Hayo mambo huwa yapo tu achilia mbali wewe hujaowa hata walio owa huwa wanapigiawa tu cha msingi ongea nae kwanza ukiona hakuelewi piga chiniKama heading hapo juu inavojieleza, nina mpenzi wangu na nimwaka watatu sasa tangu tulipoanzisha mahusiano.
Yeye anasoma chuo cha Kati Mbeya diploma ya ualimu mwaka wa pili na Mimi Niko hapa UDOM mwaka wapili bachelor of science with Education.
Walikua na rikizo ya mwezi hivi mmoja ambayo iliitumia Kwa kwenda kwao kama slivonieleza Mimi.
Kufuatia kwamba ni siku nyingi tulikua hatujaonana, nilimuomba atakapotoka kwao Tanga kurejea chuoni Mbeya baada ya kua rikizo imeisha apite Dodoma walau tuonane.
Jumamosi hii ilopita ndio alikua anarejea chuoni akawa amepita hapa Dodoma na tuka spend siku tatu pamoja mpaka jumatatu.
Lakin wakati tukiwa pamoja, nili download hacking app ya spycheckup Nika install na kukamilisha settings zote Kwa ajili ya kuanza kpekua texts zake za kwenye SMS, WhatsApp na call history zake.
Wakati Niko nae hakukua na dalili mbaya kwenye simu yake kiasi kwamba nikamuona ni innocent.
Lakin baada ya Tu kuachana na yeye kuelekea chuoni kwao ndio niaanza kushuhudia madudu.
Huyu msichana kumbe kabla ya kuja kwangu alikua Kwa njemba moja huko morogoro na alikaa yapata wiki nzima Kwa jamaa Hilo.
Hili nimelijua baada ya kubaki nampekua kupitia ile hacking app niloitega kwenye simu yake.
Yani nilikua nasoma chatting zake za WhatsApp na SMS, jamaa linamsifia kwamba anaweza kazi na linasema wiki moja alokaa nalo ilikua ndogo Kwa jinc alivokipa mambo adimu.
Kinachoniuma ni jinsi mavompenda huyu binti na tuliko toka ukijumlisha na malengo tulowekeana. Pia nime spend some amounts of money katika kipind chote za mahusiano kwa kujua ndio mke mtarajiwa kitu ambacho kinaniuma Sana mpaka sasa.
Sijamwambia chochote mpaka sasa maana inashauriwa kutofanya maaumuzi wakati WA hasira, but nazid kuumia kila naposoma chatting zake hiku maana ukiachana na Hilo njema la morogoro kuna jamaa mwingne nazani niwa hapohapo chuoni kwao ananilia tunda langu.
Guyz, actually nimekosa cha kuamua. Either nimpige chini nisonge mbele au nimkosoe Kwa anayoyafanya then niendelee nae coz ningali nampenda Sana.
In addition,. Nataka after three weeks nikapime HIV/AIDs maana nilienda peku Kwa binti huyu nilipokua sijui kama katoka Kwa mshkaji mwingine isije ikawa kaniachia na matadhi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nadhani dogo kapaniki; hi kitu inapanikisha sana mkuu, msamehe!Uko UDOM likizo unaandika rikizo...
Kama heading hapo juu inavojieleza, nina mpenzi wangu na nimwaka watatu sasa tangu tulipoanzisha mahusiano.
Yeye anasoma chuo cha Kati Mbeya diploma ya ualimu mwaka wa pili na Mimi Niko hapa UDOM mwaka wapili bachelor of science with Education.
Walikua na rikizo ya mwezi hivi mmoja ambayo iliitumia Kwa kwenda kwao kama slivonieleza Mimi.
Kufuatia kwamba ni siku nyingi tulikua hatujaonana, nilimuomba atakapotoka kwao Tanga kurejea chuoni Mbeya baada ya kua rikizo imeisha apite Dodoma walau tuonane.
Jumamosi hii ilopita ndio alikua anarejea chuoni akawa amepita hapa Dodoma na tuka spend siku tatu pamoja mpaka jumatatu.
Lakin wakati tukiwa pamoja, nili download hacking app ya spycheckup Nika install na kukamilisha settings zote Kwa ajili ya kuanza kpekua texts zake za kwenye SMS, WhatsApp na call history zake.
Wakati Niko nae hakukua na dalili mbaya kwenye simu yake kiasi kwamba nikamuona ni innocent.
Lakin baada ya Tu kuachana na yeye kuelekea chuoni kwao ndio niaanza kushuhudia madudu.
Huyu msichana kumbe kabla ya kuja kwangu alikua Kwa njemba moja huko morogoro na alikaa yapata wiki nzima Kwa jamaa Hilo.
Hili nimelijua baada ya kubaki nampekua kupitia ile hacking app niloitega kwenye simu yake.
Yani nilikua nasoma chatting zake za WhatsApp na SMS, jamaa linamsifia kwamba anaweza kazi na linasema wiki moja alokaa nalo ilikua ndogo Kwa jinc alivokipa mambo adimu.
Kinachoniuma ni jinsi mavompenda huyu binti na tuliko toka ukijumlisha na malengo tulowekeana. Pia nime spend some amounts of money katika kipind chote za mahusiano kwa kujua ndio mke mtarajiwa kitu ambacho kinaniuma Sana mpaka sasa.
Sijamwambia chochote mpaka sasa maana inashauriwa kutofanya maaumuzi wakati WA hasira, but nazid kuumia kila naposoma chatting zake hiku maana ukiachana na Hilo njema la morogoro kuna jamaa mwingne nazani niwa hapohapo chuoni kwao ananilia tunda langu.
Guyz, actually nimekosa cha kuamua. Either nimpige chini nisonge mbele au nimkosoe Kwa anayoyafanya then niendelee nae coz ningali nampenda Sana.
In addition,. Nataka after three weeks nikapime HIV/AIDs maana nilienda peku Kwa binti huyu nilipokua sijui kama katoka Kwa mshkaji mwingine isije ikawa kaniachia na matadhi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Na angejuaje kwamba sio sahihi kwake bila kumchunguza? Siungi mkono njia aliyotumia ila kuchunguzana muhimu aiseeKatika mistake wengi wetu tunayofanya katika mahusiano tuliyonayo ni kumchunguza tulie naye
Binafsi sijawahi kuwa mtu wa kumfatilia niliye naye kwasababu najua moyo wangu ulivyo na ukweli mchungu wa kujitakia sitoweza kuu-handle
Mi naamini mwanamke anayekupenda kwa dhati hawezi kukusaliti..hadi inatokea mwanamke anaenda kulala week nzima kwa jamaa mwingine ni ishara kubwa sana kwamba sio sahihi kwako
Fanya maamuzi
Kama heading hapo juu inavojieleza, nina mpenzi wangu na nimwaka watatu sasa tangu tulipoanzisha mahusiano.
Yeye anasoma chuo cha Kati Mbeya diploma ya ualimu mwaka wa pili na Mimi Niko hapa UDOM mwaka wapili bachelor of science with Education.
Walikua na rikizo ya mwezi hivi mmoja ambayo iliitumia Kwa kwenda kwao kama slivonieleza Mimi.
Kufuatia kwamba ni siku nyingi tulikua hatujaonana, nilimuomba atakapotoka kwao Tanga kurejea chuoni Mbeya baada ya kua rikizo imeisha apite Dodoma walau tuonane.
Jumamosi hii ilopita ndio alikua anarejea chuoni akawa amepita hapa Dodoma na tuka spend siku tatu pamoja mpaka jumatatu.
Lakin wakati tukiwa pamoja, nili download hacking app ya spycheckup Nika install na kukamilisha settings zote Kwa ajili ya kuanza kpekua texts zake za kwenye SMS, WhatsApp na call history zake.
Wakati Niko nae hakukua na dalili mbaya kwenye simu yake kiasi kwamba nikamuona ni innocent.
Lakin baada ya Tu kuachana na yeye kuelekea chuoni kwao ndio niaanza kushuhudia madudu.
Huyu msichana kumbe kabla ya kuja kwangu alikua Kwa njemba moja huko morogoro na alikaa yapata wiki nzima Kwa jamaa Hilo.
Hili nimelijua baada ya kubaki nampekua kupitia ile hacking app niloitega kwenye simu yake.
Yani nilikua nasoma chatting zake za WhatsApp na SMS, jamaa linamsifia kwamba anaweza kazi na linasema wiki moja alokaa nalo ilikua ndogo Kwa jinc alivokipa mambo adimu.
Kinachoniuma ni jinsi mavompenda huyu binti na tuliko toka ukijumlisha na malengo tulowekeana. Pia nime spend some amounts of money katika kipind chote za mahusiano kwa kujua ndio mke mtarajiwa kitu ambacho kinaniuma Sana mpaka sasa.
Sijamwambia chochote mpaka sasa maana inashauriwa kutofanya maaumuzi wakati WA hasira, but nazid kuumia kila naposoma chatting zake hiku maana ukiachana na Hilo njema la morogoro kuna jamaa mwingne nazani niwa hapohapo chuoni kwao ananilia tunda langu.
Guyz, actually nimekosa cha kuamua. Either nimpige chini nisonge mbele au nimkosoe Kwa anayoyafanya then niendelee nae coz ningali nampenda Sana.
In addition,. Nataka after three weeks nikapime HIV/AIDs maana nilienda peku Kwa binti huyu nilipokua sijui kama katoka Kwa mshkaji mwingine isije ikawa kaniachia na matadhi.
Sent using Jamii Forums mobile app